mwanadodoma
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 434
- 876
Una UCHOKO sana,kama ninyi mlivyomkaba Saka tena akiwa hajapona sawasawa lakini akampiga beki tobo na kuwaweka,na mlivyokuwa mna uhakika wa ushindi kisa tuna majeruhi wengi mbona jasho liliwatoka!!yaani kulia kacheza Partey lakini bado jasho liliwatoka,mtu upo kijijini huko kibanda umiza unawashwa kusema Goli offside kumzidi aliyekuwa Live EmiratesMkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka
Mkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka