Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I love seeing Arsenal fans cry. It's my daily medicine, my weekly energy, my monthly inspiration and my yearly motivation. Their loss is the only reason i'm still alive, I was born to love and enjoy the failure that they have achieved
don't laugh at other people's misfortune!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Mkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka
Una UCHOKO sana,kama ninyi mlivyomkaba Saka tena akiwa hajapona sawasawa lakini akampiga beki tobo na kuwaweka,na mlivyokuwa mna uhakika wa ushindi kisa tuna majeruhi wengi mbona jasho liliwatoka!!yaani kulia kacheza Partey lakini bado jasho liliwatoka,mtu upo kijijini huko kibanda umiza unawashwa kusema Goli offside kumzidi aliyekuwa Live Emirates
Mkaamua wote mumkabe Salah lakini wapi😄
Jamaa kawaweka
 
Tunaongoza dhidi ya city tukasusa kumiliki mpira.
Late minutes equaliser

Tunaongoza dhidi ya liva tunasusa kumiliki mpira.
Late minutes equaliser.

Against city tukahalalisha tulikua pungufu na city ni timu nzuri. Vipi leo?

Kama unashinda mechi zingine ila hizi za title challengers unapata matokeo haya inakua siyo mbaya.

Ila unafungwa na Bournemouth halafu unasuluhu na hawa challengers unajiweka sehemu ya hovyo.
Hapo akili imefikia mwisho. Ubingwa kwa kheri, no way.
 
Mkuu
Huwezi kucomment bila kuhusisha matusi?
Mbona una hasira hivyo?
Kunywa maji ushushe presha hiyo
Fans wa arseno siyo wapumbavu wa kiasi chako.
Una UCHOKO sana,kama ninyi mlivyomkaba Saka tena akiwa hajapona sawasawa lakini akampiga beki tobo na kuwaweka,na mlivyokuwa mna uhakika wa ushindi kisa tuna majeruhi wengi mbona jasho liliwatoka!!yaani kulia kacheza Partey lakini bado jasho liliwatoka,mtu upo kijijini huko kibanda umiza unawashwa kusema Goli offside kumzidi aliyekuwa Live Emirates
 
Ten Hug kashafungashiwa virago huko!
Siku mbaya sana kwetu Ze Ganaz. Wangesubiri kidogo tu tukutane nao kwanza. Yaani unaona jinsi gani Asenali tunapigwa vita kila kona, kuanzia wachezaji wetu kuvunjwa kwa rafu za kihuni, marefa na VAR kutusulubisha bila haki, mpaka sasa Ratcliffe naye kaingia kutusagia kunguni kwa kumuondoa Baba Ubaya.
 
Refa fala huyu
Kabla ya kumtupia lawama refa tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, la sivyo kila msimu nyie mtakua mnaishia kua wapenzi wasindikizaji
1728754209983.jpg
 
Back
Top Bottom