Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Flano Ally pipi
Hamis77 kumbe yupo bhana kaanzisha uzi, kahamia kwenye vita ya wayahudi na waarabu
Labyrinth 84
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii jukwaa tutabaki wenyewe humu , tushampiga mchungaji kondoo wametawanyika.
False hopes zinawasumbua sana vijana wa arsenal saivi wameamia kwenye red cards hope , et wanafungwa tu wakiwa na red card.
Zile phase sijui 3 or 4 zimeisha πŸ˜€ zote .False hoper mkuu ameamua kukimbilia kwenye vita za israel na iran huku hapawezi
 
Wanachocheza kenge leo ndiyo ilikua idea ya Madrid jana, hii mijusi haiwezi kushinda kwa sababu inareturn favour na yenyewe inacheza hivyo.

Wakati wamejaribu mpira tofaut ukawapa goli instant.

Nyumbu na westham ni vichaa wawili wanapigana
 
Tafuteni kipa wa kueleweka
 
Pimbi mnawashwawashwa kweli mnatafuta mabwana humu enh!!!hatuna mpango na makalio yenu kenge nyie
 
Westham ipo hovyo huyu kocha hajasettle ila nyumbu anaongozwa
 
Unaangalia mechi?
 
Slot anasema mpango wake ni kumiliki mpira zaidi ila hatoshangaa kama tutabadilishana umiliki wa mpira.
 
Diaz amerudi. Hua anakua msumbufu ila nafikiri ni better White kakaa CB.

Tunaamini Salah anakutana na balaa alilolishindwa kipindi kile. Changamoto ni wakianza long balls hawa wana.

Martinelli hua ana annual balon D'or performance dhidi ya liva and we hope leo tena atafanya same.

We need to win this ili tutoke at 5th na kumfunga speed governer liva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…