Leo kuna timu tatu mchezaji mmoja kapigwa red.
Tujiangalie hapa. Anyway, I think tunaingia kipindi ambacho tunahitaji kushinda magoli mengi ila bado hatuna watu wa kustep up au bado tunaitafuta rhythm.
Shida ni kwamba muda wa kutafuta rhythm ukifika unakuta tuna majeruhi. So tunaona bora tutafute ushindi kuliko kuukosa kabisa.
Kwenye orodha mpya ya majeruhi tuna Saka na Timber.
Merino na Sterling wanaanza leo, hopefully Sterling kaona makosa yake kutokea mara ya mwisho aliyocheza. Ila kusema kweli jamaa hajawahi kujifunza kuanzia namjia hadi leo.
Tumuone Kepa