Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,521
- 2,249
Gabriel wadau walimsema sana.Kadri anavyozidi kucheza atazidi kurekebishwa...hata Gabriel alovyokuja kipindi kile alikuwa ana wenge Fulani hivi ila Sasa hivi ni muhuni wa kutupa mbali....Kila Haaland akilala usingizi anamuota anaweweseka🤠🤠🤠
Kabisa....wiki ijayo Merino anarudi mazoezini rasmi na bwana mdogo Tomiyasu🤠🤠🤠....ikumbukwe ligi inaanza rasmi mwezi wa 12 maana saahzi bado tupo pale juu na kina Chelsea mara Aston villa....ila ikifika hyo miezi ya 12 watakuwa wamesharudi nafasi zao za 7 na 8 huko....halafu sisi na kipara tutakuwa pale juu tunaoneshana makaliGabriel wadau walimsema sana.
Mambo vipi mkuu, samahani naomba msaada wa app nzuri ya mpira kwa smart tv, ikiwa na channels za bein tv itapendeza zaidi, mimi natumia yacine app kwenye simu, nimejaribu kuinstall kwenye tv imenikatalia.Hata Nico kama namuelewa vile, tatizo ufupi
Ajirekebishe mapema kabla hajakutana na winga teleza za chelsea, hatutaki lawama. Msije mkasema watujawaambia.Kadri anavyozidi kucheza atazidi kurekebishwa...hata Gabriel alovyokuja kipindi kile alikuwa ana wenge Fulani hivi ila Sasa hivi ni muhuni wa kutupa mbali....Kila Haaland akilala usingizi anamuota anaweweseka🤠🤠🤠
Ajirekebishe mapema kabla hajakutana na winga teleza za chelsea, hatutaki lawama. Msije mkasema hatujawaambia.Kadri anavyozidi kucheza atazidi kurekebishwa...hata Gabriel alovyokuja kipindi kile alikuwa ana wenge Fulani hivi ila Sasa hivi ni muhuni wa kutupa mbali....Kila Haaland akilala usingizi anamuota anaweweseka🤠🤠🤠
Madueke??🤣🤣🤣....winger mwenye akili Chelsea ni mmoja tu...Neto...hao wengine ni bogus kabisa....yaani nikikaangalia kale katimu kenu nabaki kusikitika....hutapata point kwetu...hutapata kwa Liverkuku...Man City hyo kashakufilimba tyri....labda Manyumbu utayabahatisha....na bdo kina Nyukesto watakuweka vzuri....yaani in short mna kama miaka 3 hivi msipofukuza kocha ndo walau mnaweza kuchezacheza kidogo....ila kwasasa TAfuteni viungo na mabeki wa kueleweka....siku tukikutana hatutaki mitusi kwa Kocha wenuAjirekebishe mapema kabla hajakutana na winga teleza za chelsea, hatutaki lawama. Msije mkasema watujawaambia.
Chama la wana leo tunakiwasha na dunia nzima inafurahi ,mtaani tunavimba kibabe sasa hivi .Madueke??🤣🤣🤣....winger mwenye akili Chelsea ni mmoja tu...Neto...hao wengine ni bogus kabisa....yaani nikikaangalia kale katimu kenu nabaki kusikitika....hutapata point kwetu...hutapata kwa Liverkuku...Man City hyo kashakufilimba tyri....labda Manyumbu utayabahatisha....na bdo kina Nyukesto watakuweka vzuri....yaani in short mna kama miaka 3 hivi msipofukuza kocha ndo walau mnaweza kuchezacheza kidogo....ila kwasasa TAfuteni viungo na mabeki wa kueleweka....siku tukikutana hatutaki mitusi kwa Kocha wenu
Kwa forward ya Jackson au siyo🤣🤣🤣....mkuu mkijirahidi ni Europa mnaenda kucheza...si vinginevyoChama la wana leo tunakiwasha na dunia nzima inafurahi ,mtaani tunavimba kibabe sasa hivi .
Ninyi pigeni sifa tu ,sisi sasa hivi hatuna maneno mengi ,tunaxhidhs dozi nzito nzito ,yaani kifupi sisi ni " mtu kazi "
Usiombe kukutwa na sisi bwana pepsi , tutawapa kipigo ambacho hamtasahau , sasa hivi kila anayesogea mbele yetu hatuna mzaha ni goli 3 na kuendelea tasmia wenyewe mfungwe tatu ,nne ,Khamsa nk ni ninyi wenyewe tu .
Najua unadhani natania ila we mwenyewe utaona shughuli , huyo mamasita aka mancity alitubahatisha tu ile mechi kama uliangalia vizuri , na ni mechi ya kwanza , chemistry haikuwa ka ilivyo sasa .
Mkuu nakupa onyo : Arsenyetoz tutawakanda vibaya sana .
Chelsea bingwa
Europa ni kubwa sana waulize arsenal wenzako ,vitu vikubwa kama uefa na europa mshabiki wa arsenal hatakiwi kujadili mpaka apate ruhusa kwa mashabiki wa team ziliochukua kombe ,unaongea vipi kuhusu europa na uefaKwa forward ya Jackson au siyo🤣🤣🤣....mkuu mkijirahidi ni Europa mnaenda kucheza...si vinginevyo
Sterling mzuri kutengeneza chances.Sterling game iliopita alicheza vizuri nafikiri akipewa muda mwingi yeye na Saka watasaidia kuwapa mipira kina Kai na wenzake pale kati.
Hadi City ashindeRefa alikua na sababu ya kuongeza dakika 7? 😅😅