Huyu dogo hamna kitu kabisa.Walcott sijui ana matatizo gani siku hizi..Huu ndo muda mzuri wa oxlade kupata namba.
Nimesahau kukupa hongera zako Wacha1 Shawcross and the gang wanatia timu Emirates jpili, jiandae.
Sawa sawa mkuu wangu wala hamna tatizo, tusubirie tu tutaona.....lazima tutembeze kichapo pale nyumbani maana lazima ukumbuke tuna record hapa kwenye uwanja wetu.....
Habarini wana Gunners wenzangu,tupo pamoja wakuu.Tujipongeze kwa ushindi wa leo,na imani kabisa huo ni mwanzo tu,Hii ni baada ya wachezaji kuanza kuelewana vizuri.Japokuwa defence yetu bado haijakamilika lakini baada ya wiki mbili TV5 anarudi hapo ndo moto wake utashika kasi ya ajabu.
Mkuu nashukuru sana,naona vijana wameanza kuelewana,tukumbuke kuwa hawakuwa pamoja kwenye Pre-season,walianza game bila kuwa wamoja lakini kwa sasa naona wameanza kuelewana,tatizo liko kwa Arshavin ni kama vile hupiga vitoti vya Vodka kabla ya kuingia uwanjani.Mkuu karibu sana naona umeingia na baraka tele, mwakani kutakuwa na sherehe kubwa sana Emirates , Wacha vijana warejee.
Sawasawa "Kweli", na blues wamewaonea wale wabelgiji bure, naona walikuwa wamekula mno "Cheese"!
Mpaka Torres kafunga?!
Ila babu wetu naona sio mkali sana kwenye dressing room, kuna wapuuzi kama Arshavin na Rossicky, wangekua "Manure", sidhani kama wamekungua wanacheza hivyo au kucheka cheka kimzahamzaha kama vile!
Habari wakuu!!! Mwendo wa leo upoje?
yaani game ya Leo naisubiri kwa hamu.. Nasoma tetesi online wanasema v.persie anaweza kupumzishwa , sijui kweli ..?
Nafurahi kuona AW anaanza kusikiliza kilio/maono yetu.....Dogo Jenkinson pamoja na kwamba ni majeruhi huwa kalegea sana......Ndio hapo unapomkumbuka mtu aina ya Emmanuel Eboue........Alikuwa ni mbadala mzuri sana wa Sagna pale kulia nyuma.....Huyu Jenkinson kalegea sana na hana nguvu kabisa.......
Labda ifike mahali AW aanze kuwajaribu Squillaci na Djourou kwenye nafasi ya beki wa kulia sasa.....
Pilipili iko shamba ...........................?Yeah Van Perse yupo nje, yaani naangalia leo mtakavyotandikwa....why awekwe nje kwa ajili ya league cup au kwa ajili ya nini???leo mtafungwa naona
Habari wakuu!!! Mwendo wa leo upoje?
Naona watani wa OT tayari washalambwa na Balotelli.....