Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walcott sijui ana matatizo gani siku hizi..Huu ndo muda mzuri wa oxlade kupata namba.
Huyu dogo hamna kitu kabisa.
Park naye vp? Naona fom yake kwenye tim ya taifa ipo juu sana. Mbona babu hampi nafasi?
 
Nimesahau kukupa hongera zako Wacha1 Shawcross and the gang wanatia timu Emirates jpili, jiandae.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chubiri ubatizo kutoka kwa QPR khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Sawa sawa mkuu wangu wala hamna tatizo, tusubirie tu tutaona.....lazima tutembeze kichapo pale nyumbani maana lazima ukumbuke tuna record hapa kwenye uwanja wetu.....

Records are there to be broken khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



BTW Wakuu mwacheni Theo hana tatizo lolote kila ndege huruka kwa mbawa zake kuna siku game hukataa he is ok. Wasi wasi wangu upo kwa Arshavin na Santos zaidi Theo anajituma sana na hawezi kutusaliti kama wachezaji wengine wanaotoka nje ya UK.
 

Mkuu karibu sana naona umeingia na baraka tele, mwakani kutakuwa na sherehe kubwa sana Emirates , Wacha vijana warejee.
 
Mkuu karibu sana naona umeingia na baraka tele, mwakani kutakuwa na sherehe kubwa sana Emirates , Wacha vijana warejee.
Mkuu nashukuru sana,naona vijana wameanza kuelewana,tukumbuke kuwa hawakuwa pamoja kwenye Pre-season,walianza game bila kuwa wamoja lakini kwa sasa naona wameanza kuelewana,tatizo liko kwa Arshavin ni kama vile hupiga vitoti vya Vodka kabla ya kuingia uwanjani.
 



Nitakukumbusha tarehe 29.10.11.
 
yaani game ya Leo naisubiri kwa hamu.. Nasoma tetesi online wanasema v.persie anaweza kupumzishwa , sijui kweli ..?
 
yaani game ya Leo naisubiri kwa hamu.. Nasoma tetesi online wanasema v.persie anaweza kupumzishwa , sijui kweli ..?

bora atokee kwenye benchi, kwani hawa wacheza rugby *stoke city* hawachelewi kumvunja.
 
Yeah Van Perse yupo nje, yaani naangalia leo mtakavyotandikwa....why awekwe nje kwa ajili ya league cup au kwa ajili ya nini???leo mtafungwa naona
 
Nafurahi kuona AW anaanza kusikiliza kilio/maono yetu.....Dogo Jenkinson pamoja na kwamba ni majeruhi huwa kalegea sana......

Arsenal Vs Stoke

Asenal Team in full: Szczesny, Djourou, Koscielny, Mertesacker, Andre Santos, Song, Arteta, Ramsey, Walcott, Gervinho, Chamakh.

Substitutes: Fabianski, Frimpong, Rosicky, Benayoun, Arshavin, Park, Van Persie.

Kila la heri 'Ze Gunaz' wenzangu
 
Yeah Van Perse yupo nje, yaani naangalia leo mtakavyotandikwa....why awekwe nje kwa ajili ya league cup au kwa ajili ya nini???leo mtafungwa naona
Pilipili iko shamba ...........................?
 
Tuko pamoja wakuu.

Tuombe pale mbele waweze kufunga japo goli manake leo wamekutana wakuruka ruka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…