ishu ni squad depth na quality rotation broLakini hao wote uliowataja wanakubali kuwa back up ya mtu fulani. Kuna watu kuwatoa kikosi cha kwanza labda wavunjike. Hao kina saka hata aje nani kuwatoa kikosi cha kwanza ujipange
Me nataka nikuulize kitu . Kwa ufatiliaji wako wa wachezaji . Ni mchezaji gani angefaa kusajiliwa dirisha hili
mbona mapungufu yetu yanajulikana ST RW na LCM na LBMe nataka nikuulize kitu . Kwa ufatiliaji wako wa wachezaji . Ni mchezaji gani angefaa kusajiliwa dirisha hili
Ndo ungemleta mchezaji gani. Namaanisha kwenye hayo mapungufu yetumbona mapungufu yetu yanajulikana ST RW na LCM na LB
Tuko sawa ila siyo kwa ST.hatupaswi kuangalia wapinzani tunapaswa kuangalia mapungufu yetu!!mpaka hapo tuko sawa kaka??
LB - Calafiori, Timber, Zinchenko, Kiwiormbona mapungufu yetu yanajulikana ST RW na LCM na LB
Shida sio mshahara, mimi niende bure arsenal ama niwe nacheza kwa kuwalipa wao hela lakini bado wakanikataa..Sterling chelsea watachangia mshahara
nimekutajia hapo juu broNdo ungemleta mchezaji gani. Namaanisha kwenye hayo mapungufu yetu
kwa io unataka kuniambi ST tunasimama na KaiTuko sawa ila siyo kwa ST.
RW pia ni ishu kwakua hatuna uhakika na jinsi Sterling ataadopt.
Itabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaidaUnavyofikiri Hao wachezaji wote uliowataja Ni wa kiwango kikubwa sana basi. Kama huyo Osihmen Ni mchezaji wa kawaida sana. Wote uliowataja Ni washambuliaji wazuri lakini hawakupi uhakika Kama Wata perform kwenye mfumo wako Au Vipi. Wee nitajie kati ya Hao uliowataja umewajulia wapi kwingine kabla ya hizo timu zao Za sasa hivi
Usajili wa Sterling unaweza kuleta matunda Kwa arsenal. Japo tungempata Sancho ingekuwa vizuri zaidi. Sterling siyo m baya japo Ana mapungufu yake. Finishing yake mbele ya Goli siyo ile ya Uhakika. Ki uhalisia sterling Ni bora uwanjani kuliko Martin Eli. Apate coaching nzuri . Apunguze ubinafsi basi
Tuzungumze mpira . Tueleweshane. Weee mpira unaujua . Tungemtakq osihmen tungempata...? Usajili ni makubaliano ya pande Tatu. Means kila mtu aridhie kwa upande wake.Itabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaida
Sent from my SM-N986U1 using JamiiForums mobile
Halafu kama mpira unaujua . Utagundua mpira haupo hvyo . Ety kisa mchezaji fulani anajua basi asajiliwe tu ukadhani atakuwa na impact kwenye timu. Tumesajili wangapi wamefeli kudeliver tulichokihitaji. Au vilabu vingapi wamesajili wacjezaji wakashindwa ku perform. Hao kina gyrekes ni kina Carol tu waliochangamka. LIJUE BOLI MZEEItabidi tuheshimu mawazo yako, japo bado ni ya kiduanzi. Kwamba the likes of Osimhen ni wachezaji wa kawaida
Sent from my SM-N986U1 using JamiiForums mobile app
Kama wewe ni shabiki wa Arsenal basi Boli hulijui. Kama siyo shabiki wa Arsenal Unaongea Unafki😅Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.
Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
Kama wewe ni shabiki wa Arsenal basi Boli hulijui. Kama siyo shabiki wa Arsenal Unaongea Unafki😅