Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 718
- 1,311
Swali la kiduanzi kabisaAngesajiliwa nani
Sometimes unatakiwa uweke hisia pembeni halafu Uzungumze Mpira mzeeSwali la kiduanzi kabisa
Hutakiwi kufata fata mkumbo . Kisa kikundi cha watu fulani wanamkandia mchezaji fulani . Na wwee ukaanza kukandiaSwali la kiduanzi kabisa
EPL 23/24Tofauti ya points za bingwa na arsenal msimu uliopita ni ngapi?
Ni mechi moja,tufanye ya villa, haikuwa sababu ya uwezo bali concentrationEPL 23/24
Man City 91p
Arsenal 89p
Two points na ubingwa hola
So, kila mchezaji, kila staff anayesajiliwa lazima aakisi kufunga Hilo ga la 2points na hao wajomba.
Unamuona Sterling akifanya hivyo?
Ndio maana mdau juu akasema tutashinda, ila ubingwa hola
Sterling chelsea watachangia mshaharaArteta hayupo serious, tuna kiazi kai, halafu anaenda kutuletea bogus sterling,
Tutashinda shinda game nyingi lakini KIKOMBE sifikirii
Hakuna anayefata mkumbo mkuu. Ni kawaida mashabiki kufanana mawazo, na hili linajulikana.Hutakiwi kufata fata mkumbo . Kisa kikundi cha watu fulani wanamkandia mchezaji fulani . Na wwee ukaanza kukandia
Sio jibu hili braza la swali nilokuuliza.. mko nafasi ya ngapi mkuuNyie tunawajua hata mkishika nafasi ya kwanza hamna madhara tunawasubiri May huko muachie nafasi za watu