Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaaaaaahhh!!! Santos kampiga mtu KANZU..... Kingereza chake sijui ni nini......
 
Dah!!! Naona JENKINSON kakataliwa bahati ya kufunga.....
 
Hapo katikati panavuja sana .... ... pasi mbovu ... ....
 
Reactions: Mbu
TW kafanya haraka kupiga ile CROSS.... bado alikua na nafasi ya kufanya vema zaidi ya Vile.....
 
Huyu dogo kweli simuamini... lakini kwa kweli alikua ana Good game so far......
 
Huyu mjerumani leo ana tabu na Shida zake.... Anazungushwa ka pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…