Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,108
- 3,192
Mnashika nafasi ya ngapi mkuuGENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa😂😂😂. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.Nashika
Atacheza na hutakaa uaminiKama tukipata striker mpya,
Kai kuna rangi ataanza kuiona kutoka technical bench
TrophiesHuyu jamaa tumempa support since 2019. Akizingua msimu huu, aliwe kichwa tu. We need trophies.
Bila TROPHIES, sisi ni TOTTENHAM tuliochangamkaHuyu jamaa tumempa support since 2019. Akizingua msimu huu, aliwe kichwa tu. We need trophies.
Arteta kwa Kai humwambii kitu. Mpaka sasa hana mpango wa kununua striker.King kai kama wengi wanavyomuita.
Kwasasa arsenal tumevuka zama za kuishi na mchezaji kwa kulipa fadhila,hatupo huko tena.
Pepe aliondoka na price tag yake,
Ramsdale kaondoka na uingereza wake
Nketiah kaondoka na u homegrown wake
Nelson taa nyekundu imeshawaka
Fabio vieira kapelekwa kwa mkopo kumtafutia sababu
Kifupi kwa sasa kama hauna performance nzuri edu na arteta hawakutazami usoni.
Zinchenko,jesus,martinell na KAI wasipobadilika hakuna rangi ya arteta wataacha kuiona.
Arteta nilianza kumuofia jinsi alivyomgeuka ramsdale na price tag yake na good perfomance
Hakuna striker anayekuja hapa. Hii timu ni kichekesho.Kama tukipata striker mpya,
Kai kuna rangi ataanza kuiona kutoka technical bench
jamaa kazingua kinoma eti amekaa pembeni ya merino ni swala technical huku kuna mashabiki hoyahoya sana wanajiandikia tuu, ukisoma unaweza fikiri ni story za darasa la tanoGENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa😂😂😂. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.
Hapana sio hivyo.kwa hiyo league phase draw ya pot 2 ambayo arsenal yupo.. muhimu zaidi ni kushika nafasi mbili za juu ili kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora bila kupitia mtoano ;hiyo itapunguza wingi wa mechi kidg.
ikitokea arsenal imemaliza kuanzia ya 3 hadi ya 6.. ndio anaenda kukutana na zile games za home and way ili kuingia 16 bora.
kwa hiyo league phase draw ya pot 2 ambayo arsenal yupo.. muhimu zaidi ni kushika nafasi mbili za juu ili kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora bila kupitia mtoano ;hiyo itapunguza wingi wa mechi kidg.
ikitokea arsenal imemaliza kuanzia ya 3 hadi ya 6.. ndio anaenda kukutana na zile games za home and way ili kuingia 16 bora.
Mchezaji ambaye tungempata toka Juve angekua hatari ni KulusevskiHodi Wana arsenal, nili tamani mumchukie chiesa aisee.
Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile wingaMchezaji ambaye tungempata toka Juve angekua hatari ni Kulusevski
Tulieni mtafikiwa tu. Muwe wavumilivuGENGE LA MATUMAINI HEWA:
Hapa ndipo kisima cha false hopes karibuni wote .
Kuna jamaa hapo juu anakuambia martineli amekaa pembeni ya merino kutengeneza bond yaani gabi atafufuka na kutikisa. Hii false hope tamu kweli kuisikia inabidi mkorea tukupe u chairman sasa wa false hope rasmi.
Makocha wangapi umewa support na Hawakubeba vikombe..Bila TROPHIES, sisi ni TOTTENHAM tuliochangamka
🤔🤔🤔
Acheni ujuaji . Wee unajua kuliko Arteta😅Hakuna striker anayekuja hapa. Hii timu ni kichekesho.
Tunahadithiana ubingwa, Bado tupo na kina Nelson!
Striker/Winger muda huu alitakiwa kuwa yupo Sobha Realty anapasha misuli na wenzake. Sio kuulizana tunamsajili nani.
Nyie tunawajua hata mkishika nafasi ya kwanza hamna madhara tunawasubiri May huko muachie nafasi za watuMnashika nafasi ya ngapi mkuu
Hawa jina lao ni false hopers , kama ubingwa unaletwa kwa njia hiooo basi wana miaka mingine 30 ya false hopes.jamaa kazingua kinoma eti amekaa pembeni ya merino ni swala technical huku kuna mashabiki hoyahoya sana wanajiandikia tuu, ukisoma unaweza fikiri ni story za darasa la tano
for sure Chiesa ni mnyama hasaKwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
Usisahau ni mtu wa Injury sana tuKwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga
Tangu apate injury amekua siyo yule wa kipindi kile.Kwangu mimi namuona Chiesa ni mtu zaidi unaweza kumtumia popote pale kwenye safu ya mbele 7,8,10,11,9 ni mtu hatari sana Liverpool wapo siriasi sana bonge ya mchezaji wamepata. Speed, skillful, work rate, energy striking. Ukiwa na mtu kama huyu huna haja ya Martinelli kwenye ile winga