Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati Arsenal tunamchukua Ramsdale tulitakiwa kulipa % husika kwa timu aliyotoka kama tungelipwa kiasi zaidi ya 19M

Arsenal imefanya ujanja isilipe hiyo %
Arsenal kwa kujikuta akili nyingi, hapa wamefanya ujanja, ila kwa SUAREZ tulifanyaga ujanja ujinga, tukamkosa kiwendawazimu kabisa.
 
Sio kwa huyu kiazi KAI, arteta anampendelea unaweza kusema ni mtoto wa mchepuko wake.
 
Teacher Arteta arranged the position very cleverly... Gabriel Martinelli was seated next to Mikel Merino on his Arsenal debut and Gabi probably understood that Merino cream was the solution to help him improve on the left wing this season.

️A one-on-one contesting machine and a ball-feeding specialist in the opposition third for Real Sociedad over the past few seasons.

️Mikel Merino will help Gabi to be less isolated on the left flank and make the most of Gabi's ability to escape with speed with effective through balls.

️At the same time, he also brings stability to Gabi on this wing, where he has had to constantly change partners since Xhaka left and Zinchenko no longer maintained his place in the starting lineup.

️Mikel Merino's arrival at the Emirates not only strengthens Arsenal's midfield but also raises hopes for Gabriel Martinelli's return this season...! 🫡
 
Agreed
 
Daah dunia haiko fair kabisa.
Hii inanikumbusha kauli ya CEO wa nokia siku wanauza kampuni kwa Microsoft
"We did nothing wrong"ila muda huo apple na sumsung washawatupa mbali
Hiko nimesema kuanzia Ramsdale anakuja, anakaa na sasa anaondoka
 
No new thing ideas



Tudadavulie unapenda aboreshe nini?
 
Sio kwa huyu kiazi KAI, arteta anampendelea unaweza kusema ni mtoto wa mchepuko wake.
Huwezi kuona ufanisi wa Kai ukiiangalia attribute ya kufunga magoli tu....ila ukiiangalia tactics za kocha unaona kabisa brazameni Kai asipokuwepo mambo hayaendi kabisa🤠🤠
 
Nakuhakikishia siku tukikutana na ninyi , huu uzi wenu mtaukimbia , tutawabonda kwa hasira na malipizi ya visasi makubwa .
Kile kipigo cha mbwa koko alichopata wolves kitawakumba na ninyi , kiufupi round hii hamtoki salama mkikutana na Chelsea
Nyny hata Arsenal wasipofanya mazoezi miezi mitatu halafu wakastukizwa wacheze na kile kigenge chenu bdo hamtakaa mshinde....mna kikundi cha vijana machachari na sio timu serious....
 
Sio kama kuna maingizo mawili labda moja tu kwa muda huu uliobaki
 
Armando Broja kwenda Ipswich dili limefeli.

Rosicky ulisema chelsea wapo faster kwenye transfer.
 
Huwezi kuona ufanisi wa Kai ukiiangalia attribute ya kufunga magoli tu....ila ukiiangalia tactics za kocha unaona kabisa brazameni Kai asipokuwepo mambo hayaendi kabisa🤠🤠
Mie nishalinganisha hayo mazuri yake na ubovu wake ndio nimekuja na jibu hatufai, tunahitaji namba 9 nyingine.
Sio kwamba kiazi kai ndio hana jema hata moja, la hasha ana mazuri yake, lakini kiujumla anazingua.
 
Chelsea wale winga wote lakini bado wanamtaka na Sancho, aisee wale jamaa naona kama wanasajili kwa kubahatisha atakae kua bora atacheza.
 
kwa hiyo league phase draw ya pot 2 ambayo arsenal yupo.. muhimu zaidi ni kushika nafasi mbili za juu ili kufuzu moja kwa moja hatua ya 16 bora bila kupitia mtoano ;hiyo itapunguza wingi wa mechi kidg.

ikitokea arsenal imemaliza kuanzia ya 3 hadi ya 6.. ndio anaenda kukutana na zile games za home and way ili kuingia 16 bora.
 

Attachments

  • 1724954901918.jpg
    457 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…