Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Zoeaneni mapema kabla hatujakutana....habari za kuja kusema Fulani hakuwepo ndo maana tumewafunga hatutaki kuzisikia majirani🤠🤠🤠....jikazeni tukikutana mpunguze idadi ya magoli maana safari hii hata draw hampati
Mkiingia kwa kujiamini hivyo mtaoga magoli shauri zenu, waulizen wolvs.
 
Mkiingia kwa kujiamini hivyo mtaoga magoli shauri zenu, waulizen wolvs.
Mlikutana pipa na mfuniko shehe🤠🤠🤠....timu katikati unapita bila kuzuiwa...mje mcheze vile na sisi muone zile Tano kama hazijajirudia....sasahvi ukikutana na sisi tunakulazimisha ucheze vile tunavyotaka sisi...hyu kipara wenu mtamtukana siku hyo
 
Hamna timu hiyo nyie kondoo, juzi yenyewe mumshukuru sana raya bila hivyo Aston Vila walikua wanawanyoa kwa chupa.

Chelsea ya mashavu tu iliwatoa jasho, je chelsea hii ya moto,ya sita sita.
 
Nyie viazi wolvs mlishinda vigoli viwili kwa tabu, sisi wanaume wenu tumewasokomeza sita
Timu yoyote ikicheza na Arsenal inafocus na kupark bus.

Msimu uliopita mlileta ujinga kutaka kubishana ndiyo maana tukawapiga 5. Sasa njooni tena msimu huu halafu defense yenu ni hiyo iliyoruhusu goli nne mechi mbili
 
Hamna timu hiyo nyie kondoo, juzi yenyewe mumshukuru sana raya bila hivyo Aston Vila walikua wanawanyoa kwa chupa.

Chelsea ya mashavu tu iliwatoa jasho, je chelsea hii ya moto,ya sita sita.
Uzuri wake huwa mnakuwa na mikwara mingi sana kabla ya kukutana ila tukishakutana tu mpira ukiisha unakula nyoya🤠🤠....Sasa hii comment naihifadhi....siku ya tukio hata usipoonekana hmu majukwaani hakyanani ntakufata PM...mashabiki wa Chelkenge mna ulofa Fulani hivi....mara ya mwsho kutufunga ni miaka sijui 70 ilopita huko halafu unakuja hapa kutupigia kelele....unatakiwa uanze kukaa kimya mapema....ile forward line yenu na beki yenu bdo sana kwa level zetu....mtawafunga hao kina Ipswich ila mkikutana na sisi hakyanani mkipata hata short on target tatu tu unitafute
 
Yaani wachezaji wenu hao wamafungu akina odergard, wakaifunge hii chelsea ya sita sita, seriously. Na mimi naitunza hii.
 
Yaani wachezaji wenu hao wamafungu akina odergard, wakaifunge hii chelsea ya sita sita, seriously. Na mimi naitunza hii.
Chelsea imepigwa mpaka ikapigika una nini cha kutamba, nyie mmeanzia mlipoishia kuelekea nafasi ya 15
 
Kwani nani alikuwa man of the match?. Yaan nyie maneno meengiii mtafikiri mna kikosi kumbe wachezaji mnaowategemea ni akina Odergard dah! mchezaji aliyeachwa na Mardid. Mpaka mardid anakuachia mchezaji hujiulizi.
Ni kwli ndo maana na sisi tukawaachia mumchukue Mudryk braza🤠🤠...anaupiga mwingi sana....ila tutakutana tu siku sio nyingi....na usije ukala nyoya
 
Ishara sio nzuri kwa kila aliye mbele yetu
 

Attachments

  • IMG-20240827-WA0125.jpg
    68.3 KB · Views: 9
  • IMG-20240827-WA0123.jpg
    55.2 KB · Views: 10
  • IMG-20240827-WA0122.jpg
    51.4 KB · Views: 12
  • IMG-20240827-WA0120.jpg
    42.7 KB · Views: 11
Ishara sio nzuri kwa kila aliye mbele yetu
Partey kagoma kuondoka...kasema anaona bdo ana kama miaka 3 mbele ya kucheza pale hata kama bila malipo Ili afidie kipindi ambacho alikuwa majeruhi....aisee kwakwli Manunu...Chelkenge na livakuku wasilete timu uwanjani....watadhalilikA....Man City mwaka huu hawatapata on target hata moja tukicheza nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…