Niliwahi sema Aaron kamzidi footwork Leno ila shot stopping ameachwa leo ni uthibitisho mwingine.
Shots alizozuia Leno kwa Onana zile ni kamba. Fulham mid yao inakata, forward yao haina muunganiko pia. Ni defense tu ndiyo inaonekana inajua inachofanya.
Huyu Amad ni mzuri kwenda mbele, akimaster na defense atakua mwiba sana ule upande wake, Fulham wanatumia sana upande wake kuliko wa Rashford.
Emile naona Arsenal hatukukosea kumuacha aende, yeye pia kafanya uamuzi mzuri ili apate game time na kuondoa huu ubutu.