Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aston Villa wanataka kutuzoea, Arne slot na Liverpool wakae kwa kutulia, we are coming.
 
Wakuu msaada unahitajika, misimu yote hua naangalia ligi zote kwa Bein Tv Channels kupitia Yacineapp.
Leo Yacineapp imegoma kufunguka inataka nidownload upya, nikienda kwenye option ya kudownload na kuinstall setting zote ila nikifungua app bado wananiletea ujumbe wa kudownload.
 
Mkuu na mm imeniletea huu ufala aisee....hivi hamna app nyingine ya kuchekia boli...maana Hawa waarabu wamekuwa wanaringa sana sikuhzi...jmni msaada baadae tuone namna Manunu wanavyodundwa
 
Ingia settings za hiyo app, nenda ka clear data zote. Jalib hili

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu na mm imeniletea huu ufala aisee....hivi hamna app nyingine ya kuchekia boli...maana Hawa waarabu wamekuwa wanaringa sana sikuhzi...jmni msaada baadae tuone namna Manunu wanavyodundwa
Wanazingua sana, yaani wamesubiri mpaka siku ligi inakaribia kuanza ndio wanatuletea huu ufwala wao, yaani kwa hii alosto ya Epl tuliyonayo halafu wanatuletea maringo.
Hebu fatilia kama kuna uwezekano wa kupata App nyingine ya kuangalia mpira ukiipata usisaha kunijulisha.
 
Ingia settings za hiyo app, nenda ka clear data zote. Jalib hili

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Mkuu hivyo vyote nimefanya lakini hamna kitu, hawa waarabu wana ujinga mwingi sana, wanajua kabisa kipindi hiki alosto ya ligi ipo high halafu wao ndio wanatuletea maringo, yaani hawa wapuuzi hawana tofauti yoyote na wale mademu wanaoletaga maringo kipindi cha masika.
 
kwani we shabiki wa timu gani?
Mimi ni shabiki wa mabingwa pekee wa kombe la UEFA mara mbili London , mabingwa wa mwisho kubeba kombe la Epl london , mabingwa pekee kombe la club bingwa duniani pale London na club tajiri zaidi na yenye mtonyo wakutosha pale London
Mkikutana na Sisi msimu huu mtaimba haleluya
 
🤣🤣🤣...tuimbe haleluya kwa beki ya Disasi na Badiashile....yaani katika timu ambayo siihesabii msimu huu ni kile kigenge chenu cha wahuni....mmekusanya group la wachezaji machachari ila hawana ufanisi wwte
 
livesports 808 ndio nimetumia kuchekia game ya man utd vs city leo

ipo makini sana
 
Watoto wa darajani huwa mnasumbua sana kwa maneno.
Kusanyeni tena rundo la wacheza reggae,baadae muanze kumlaumu kocha.
 
Tumia football Live TV hd
 
Kumbe timu yakina muha, chelwowo cheltako, mshalud default mode nyie,

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…