Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakujawahi, na hakutowahi kutokea USHABIKI WA KIDUANZI, kama kutaja KONATE AANZE FRANCE MBELE YA SALIBA

Hakuna uduanzi mkubwa kama kutaka one of top three right winger, BUKAYO SAKA arudi namba tatu ili kumu accommodate PALMER.
Kama hujajifunza hii EURO kuwa PALMA anastahili kuanza mbele ya huyo kiazi, ukapimwe mkojo. Fainali tu yenyewe ni case study nzuri.

Kwanza mna nux, wachazaji wenu kuwepo tu kikosi cha kwanza imesababsha england wamekosa ubingwa. Mmewaponza France, Italy,German.

Spain waliona mbali chezaji lenu namba moja limekula mkeka mwanzo mwisho.
 
Kama bado hujioni ni chizi kumfananisha Rodri na Rice. Huwezi kuwa sawa.
 
Ninyi Kenge mnaona vijana wetu ,Palmer na Cucurela walivyowasha moto fainali ya Euro leo ?
Subirini msimu uanze ,tunatembea mbata huu msimu mpaka mtutambue vizuri
 
Safi ankole, umeongea nondo sana hakika wewe kweri shabiki la gunners
 
Hujaeahi kuandika point, shuba miti
Uneona lile goli la England mpaka mtoto palm anafunga?

Spain wa moto tena wa moto sana jama awabahatishi.
 
hamiss77 naona kaja na ID mpya maana kila msimu anapiga domo hapa wakiaribu tu uyo na New ID😁😁
 
mbona hawatuletei vyuma asee
naona kenge wanazidi kuleta marastaman kama kawaida yao
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.
 
Huyu Mauno bado sana aisee, man u wakijichanganya wakamtegemea msimu ujao atawaingiza shimoni, mchezaji yupo slow sanaaa. Anapoozesha mashambulizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…