Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo mentality ndio iliyowafanya mkose kombe, kwa maoni ya rodri, mentality ya kushinda kila mechi ndio inayoifanya timu kuwa bingwa
 
Una kaufala Fulani hivi🀠🀠...nipo sana hmu na Sasa tunaanza maandalizi ya fezi foo....I'm more confident than ever....makombe yananukia....mwakani EPL kipara Hana chake na yy kashanusa hatari ya Arteta....tupondeni ila mwezi wa nane tabu zitawarudiq upya....
 
Nkamu niwaaacheeeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna mtu jana katoka kunicheka eti β€œArsenal km kichaa anaenda umbali mrefu halafu anarudi na makopo” imebidi nchekee tyuuu!!!
Yaani Aseno ni noma
Inachezaga mpira mzuri ila makombe wanachukua wengineπŸ˜‚
 
Watu hawajui hatari tunayowaletea msimu ujao.

Kuna waliomaliza nafasi ya 8 huko ila wapo huku kutupigia kelele kisa hatujawa mabingwa. Hawa watu wananichekesha sana. Nasoma comments zao huku nacheka kwa dharrraauu (wanaocheza draft wanaujua huu msemo).

Sisi tunaenda kujipanga kuchota points 100 next season, huku wao wanawazia kumaliza na +ve GD japo 4 au 5. Wanawaza watadhindaje FA cup ili waingie ulaya. Sisi tunawaza tufanye nini tubebe treble.
 
Hata msimu huu mlisema hivihivi πŸ˜‚
 
Kwa hiyo nyie wajinga mlitaka kushinda Premier League mkiwa na kina Nketiah, Martineli, Kiwior,
View attachment 2994316
Unless wewe ni shabiki wa Manchester City, lakini kama ni shabiki wa hizi timu zingine ambazo Arsenal imemaliza juu yao... basi timu yako imejaza wachezaji viazi mbatata kama mlivyo mashabiki wake...

Hao akina Nketiah wameonesha ubora wa hali ya juu na ndio maan wakamaliza juu ya timu inayoishabikia.
 
Huyo Zirkzee ni Gaucho mtupu kwenye mwili wa Martinell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…