Umemsahau Pep ni shetani wa aina gani?In case we lose 2moro and City win on Tuesday.
Tuesday match holds our fate
Spurs anaweza kufanya maajabuUmemsahau Pep ni shetani wa aina gani?
Sisi tunatakiwa u kujitahidi kushinda mechi zetu ili tujihakikishie kwamaba tumepiga hatua, kwamba msimu huu ni bora kuliko iliyopita. Ila ubingwa ni kitu kisichowezekana katika hali hii.
Tumuombee ila mimi simuamini kabisa.Spurs anaweza kufanya maajabu
Kabla ya kucomment, ngoja kwanza nikaone kule kwa manyumbu umeandika nini.Oya wanangu wa Arsenal leo lazima tupige hawa Mayatima wa Ferguson 💪
Yani mwezi mzima huu wanajisifu kuwa watatufunga.
Hebu leo tuwazibe mdomo 🤡
Kwa kweli hawa wakichomoka, itakuwa ni kwa misaada ya kiroho nje ya uwanja zaidi ya uwezo wa uwanjani.Lakini Hawa nyumbuz wanatutakia Nini sisi? Kwa kikosi hiki!
Tuje kupiga mtu wiki tuonekane hatuzingatii haki ya wanyama pori?
View attachment 2988823
Nakupa tasmini ya dakika 90+Kwa kweli hawa wakichomoka, itakuwa ni kwa misaada ya kiroho nje ya uwanja zaidi ya uwezo wa uwanjani.
Na ikawe hivyo
Wako kwao hawa wahuni. Kuna namna mambo yako hovyo kwetu pale kwao. Ndo maana nikasema watapita kwa nguvu za kiroho tu.Nakupa tasmini ya dakika 90+
Hadi dakika ya 40 watakua washapigwa packet 1 (kambani tatu). Nyumbu watajifanya kuja juu hapo watapigwa mbili za chap na kufanya ubao usome 5
Watagundua kwamba hapa tutadhalilika Sasa, so wataanza kujiangusha angusha, kulalamika ovyo. in short Ni upotevu wa muda tu
Japo dakika zitakua zimepotezwa nyingi, lakini zitaongezwa dakika chini ya sita ili kuwanusuru hizi nyumbu