Man U atakushangaza kesho kijana
Hawataki mchezo.City ni noma
Daaah hizi unazoleta ni dharau kabisaNyumbu inabidi apigwe kuanzia 5 kesho.
Kesho tuanakuja na boli la kufukuza mashabiki wa manyumbu uwanjani.Kesho Man Utd kazi yetu ni kusawazisha tu hio GD iwe sawa na City.
Mayatima Fc walikua wameshaomba mpaka kibali cha kufanya parade kwenye mitaa ya LondonView attachment 2987980
Tushasema kombe letu ni kumfunga au kudraw na Arsenal basi😂😂😂Kesho Man Utd kazi yetu ni kusawazisha tu hio GD iwe sawa na City.
Mayatima Fc walikua wameshaomba mpaka kibali cha kufanya parade kwenye mitaa ya LondonView attachment 2987980
Kesho tuanakuja na boli la kufukuza mashabiki wa manyumbu uwanjani.
Ili kuendana na GD inabidi iwe hivyo. Individually kenge ana watu kushinda nyumbu lakini alikufa 5.Daaah hizi unazoleta ni dharau kabisa
Sisi piaLiverpool is out of the title race
In case we lose 2moro and City win on Tuesday.Sisi pia
Nakubaliana na wewe hapa kwa namna ya mechi tulizopoteza. Ukitaka ubingwa wa ligi, hupaswi kufungwa zaidi ya mechi 3. Na pia hupaswi kutoka sare zaidi ya mechi 3 kwenye ligi yenye Man City ya Guardiola. Yule jamaa ni bonge la mmafia.As of now we've lost 5 games with games left
Last season we lost 6
This tells you we haven't moved an inch into learning our mistakes
Pia tumejitahidi kuwafunga washindani wetu wakiwemo Man City.Nakubaliana na wewe hapa kwa namna ya mechi tulizopoteza. Ukitaka ubingwa wa ligi, hupaswi kufungwa zaidi ya mechi 3. Na pia hupaswi kutoka sare zaidi ya mechi 3 kwenye ligi yenye Man City ya Guardiola. Yule jamaa ni bonge la mmafia.
Ila kwenye kujifunza, sema tumejitahidi sana pia na kuna kihatua tumepiga. Pamoja na ujinga wa kutoshoot, tumeongeza idadi ya magoli ya kugunga. Kipa wetu kabeba golden glove. Wachezaji wetu wakiangalia msimu huu, watahuzunika kiasi kwa kupoteza ubingwa ila si kama msimu uliopita.
Arteta alianza na kumaliza wa 8 msimu miwili. Akaja kumaliza wa 5. Sasa anaweza kumaliza wa 2 misimu miwili mfululizo. Karika kumaliza wa 2, msimu mmoja aliachwa nyuma points 5, mwingine, huu, anaweza kuachwa kwa points 2.
Arteta ana mambo ya kijinga ila anajitahidi kujifunza na kuimarika mechi hadi mechi na msimu hadi msimu. Wachambuzi kadhaa wanasema hili suala la kujifunza (kwa haraka) ni moja kati ya silaha zake kubwa zinazomtenga yeye na makocha wengine.