Hahaha nacheka kama mazuri, imagine huyu ndiye msimu unaanza akatabiriwa kuchukua ligi, leo yupo hoiSpurs ameshakata pumzi
Tottenham ni washenzi sana...Aston Villa aharibu mechi ngapi Ili yy aweze ku take advantage....angepata hata Draw mechi hzi mbili za Chelsea na Liverkuku angekuwa kwny nafasi nzuri kuelekea kumaliza msimu....maana angekuwa kapitwa point 5 na ana game moja mkononi...lakini wapi...Spurs will always be Spurs....Hawa Kumsimamisha City hawawezi kwa style Yao hii ya high line pressing....haibadiliki mishenzi hiiMwendo ni ule ule.
Kocha anayeonekana atafanya vizuri akifika cha kwanza ni kufananishwa na Arteta, akitoka hapo watamuuliza falsafa za mpira na masifa mengine mengine.
Mwezi mbele atakimbiwa.
Ilikua hivyo kwa Lampard, Ole, De Zerbi, Erik Kichwa Ngumu, Chuck Norris na ikafika kwa Ange.
Sasa hivi Ange wanamlaumu highline defending ambayo walimpongeza nayo ilipompa suluhu dhidi ya Arsenal. Juzi Ange anakuambia yeye kazoea kushinda, yupo radhi ajenge timu ila huku anashinda.
Sasa leo akipoteza ni game ya nne mfululizo
ingekuwaga ndo simpo hivi kama jinsi unavyotype basi chesii na manyuu mngefika mbaliFulham 1 - 3 City
Spurs 0 - 6 City
City 5 - O West ham
Ile movie nzuri ya kuvutia na kusisimua ya Aser8 kuchukua ubingwa, mwishoni inaenda kuishia kuwa movie ya Mazombie.
ipoNottingham forest ilibeba champions league mkiwa wapi Arsenal 🤔
Nauliza nyinyi Wenger orphans.
HahaaNawashauri mkodi vibaka ili waliibe kombe la epl kabla ya tarehe 12 la sivyo......
20? Aise tupeni fasta wala hatuna haja ya kujadili.Mnajifanya mnajua kununua magarasa na kuyaboresha haya Núñez uyo hatutaki pesa nyingi milioni 20 tu
hata like hakuna kuwapaMmeacha kujibu texts za watu ambao hawana msaada.
Safi sana.
Nyumbu kasha chapwa 3 huko!hata like hakuna kuwapa
4Nyumbu kasha chapwa 3 huko!