Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wameshakula chuma mbili, namtizama huyu traore wao namba 6 mgongoni, mguuni ana mali, anainesha kuwa na kitu apambane tu.
 
we mzee huwapendi kabisa wenzio

kwahio wasiwe na hopea kuwa city ata drop point huko mbeleni

kumbuka city ana spurs hio ndio gateway ya arsenal pekee iliyo baki hapo draw tu inahitajika
 
Kai atakuwa ana undugu na Arteta... Game ya Villa zile dakika 15 za mwisho Partey alikuwa anahitajika ujeuri wa Arteta utatukosesha kombe hivi hivi
 
Manchester City!They asked for a penalty, and they get it. Mmoja wa watangazaji Supersport anasema ukiangalia ni kama Gravidol ndo kamvaa Nouri, lakini ni penalty. He is not sure, lakini ni penalty. Corruption
Sisi washabiki wa jiji la manchester tuliumia mlipopewa magoli mawili ya bure mechi ya spurs ,hivyo basi msilie kwa kuona city anapata kama nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…