Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimetizama game kwa utulivu mpaka dk ya 80 hivi.
Mengi nimeyaona si mapya ni yale yale... Ubora wa partey hili jamaa, nasikitika tumechelewa kulipata na injuries zake.
ubora wa declan rice akiwa LCM
Shida za kai(nishazizoea na kukubaliana n uhalisia, ndio chaguo la mwalim)

Lakini kubwa kabisa ni huyu saka, ajiangalie saana, saka namuona ni mchezaji wa mfumo huyu, je akienda everton ataweza kushine hivi, je akienda pale man u atakuwa na nusu ya ubora wake hapa arsenal?

Kichekesho kuna muda mtaalam kai alikuja chini kuchukua mpira kwa tomiyasu akamfukuza na kumpasia mwingine.
 
Una ajenda ya Siri na Kai...leo amecheza a complete game....sijaona ufala mkubwa... fighting spirit yake ni kubwa sana...Havertz hawezi kuwa Jesus hata siku moja na Jesus hawezi kuwa Kai...hili mnabidi mlizoee tu ndugu zetu🤠🤠
 
Msimu jana tulimaliza na points 84. Leo hii tuna 83, bado mechi mbili na kama tusingezingua, ingekuwa zaidi.

Tuone tutamalizaje msimu ili tuseme tumepiga hatua kwenda mbele ama tumerudi nyuma au tumeganda.
 
hadi sasa jukwaa limepumzika. hayawani karibu wote( kenge,nyumbu,kuku kishingo) walijikusanya kutuchawia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…