Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,707
Kweli hutupendi namna hii Mkuu 😅hiohio mbinu akitumia Man Utd na akaondoka na points3 mnamnanga humu na kumsema na mpira wa papatu papatu, ila mkibananishwa na nyinyi mnasema ni mbinu
Kiukweli kabisa kuna kipindi kwa vyovyote vile timu inahitaji matokeo tu, na hiki mlichofanya jana kinaonesha jinsi gani mmeanza kua na mentality za kupambinia ubingwa, haya mambo ya kulazimisha kumiliki mpira na kucheza mpira mzuri halafu points3 anachukua mtu mwingine yalikua yanawapotezea muda sana.
Kuna kipindi inakulazimu hata upaki basi ilimradi uondoke na points3, binafsi sijafurahishwa kabisa jinsi Arteta alivyoishtukia hii mbinu maana kuna uwezekano ikamletea mafanikio makubwa sana kitu ambacho sisi hatukifurahii.
Tunapenda kuona kila mechi Arsenyo inacheza mpira mzuri, inafanya pressing na overloading, inaongoza kwa possessions halafu inaishia kupata point1 au kupoteza kabisa
Ama kama hivi hamia tu Gunners, bado tuna nafasi kwaajili yenu 😜