daraja la kigamboni JF-Expert Member Joined Apr 28, 2016 Posts 3,342 Reaction score 3,229 Apr 28, 2024 #154,761 Arsenal bingwa msimu huu Katika mechi tano zilizobaki Man City lazima atoe sare hata moja
kilamba lamba JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 427 Reaction score 738 Apr 28, 2024 #154,762 Gabby katoka majeruhi. Hata fittnes yake siyo ile aliyokuwa nayo kabla. Kwa sasa hivi Kai ni best performer over Gabby.
Gabby katoka majeruhi. Hata fittnes yake siyo ile aliyokuwa nayo kabla. Kwa sasa hivi Kai ni best performer over Gabby.
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,226 Apr 28, 2024 #154,763 Kuanzia Leo naanza kuchoma ubani game za city Mkae kwa kutulia, hii show ya city naimaliza Mimi
Flano JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,845 Reaction score 16,297 Apr 28, 2024 #154,764 daraja la kigamboni said: Arsenal bingwa msimu huu Katika mechi tano zilizobaki Man City lazima atoe sare hata moja Click to expand... hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi. Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho?
daraja la kigamboni said: Arsenal bingwa msimu huu Katika mechi tano zilizobaki Man City lazima atoe sare hata moja Click to expand... hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi. Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho?
Aeko JF-Expert Member Joined Apr 15, 2021 Posts 599 Reaction score 1,362 Apr 28, 2024 #154,765 mkale said: raya kujiamini kumezidi.. anajua akifanya makosa.. arteta bado atampanga tu next games. dhidi ya porto away.. dhidi ya bayern at home. na leo na spurs. Click to expand... Every player got his good and bad day Hata hao worldclass elites kina cr7 messi hazard benzema Lewandowski washa experience kitu kama icho so relax and enjoy the game coz nobody is perfect
mkale said: raya kujiamini kumezidi.. anajua akifanya makosa.. arteta bado atampanga tu next games. dhidi ya porto away.. dhidi ya bayern at home. na leo na spurs. Click to expand... Every player got his good and bad day Hata hao worldclass elites kina cr7 messi hazard benzema Lewandowski washa experience kitu kama icho so relax and enjoy the game coz nobody is perfect
Wells Senior Member Joined Apr 21, 2017 Posts 171 Reaction score 415 Apr 28, 2024 #154,766 United ya Ferguson said: micheal oliver kawabetia Arsenal yule alikua anaokoa mkeka weka penati yenyewe katoa kwa aibu kweli Click to expand... Michael Oliver zamani alikuwa mkuda kwenye mechi zetu lakini hivi karibuni yupo friendly mpaka huwa nashangaa.. Lakini mechi ya leo hakuna uendeleo wowote aliofanya.
United ya Ferguson said: micheal oliver kawabetia Arsenal yule alikua anaokoa mkeka weka penati yenyewe katoa kwa aibu kweli Click to expand... Michael Oliver zamani alikuwa mkuda kwenye mechi zetu lakini hivi karibuni yupo friendly mpaka huwa nashangaa.. Lakini mechi ya leo hakuna uendeleo wowote aliofanya.
A arsenal2004 JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,328 Reaction score 4,315 Apr 28, 2024 #154,767 Flano said: hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi. Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho? Click to expand... Atake asitake atadondosha tu🤠🤠🤠...kesho tupo na wanetu Nottingham
Flano said: hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi. Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho? Click to expand... Atake asitake atadondosha tu🤠🤠🤠...kesho tupo na wanetu Nottingham
Aeko JF-Expert Member Joined Apr 15, 2021 Posts 599 Reaction score 1,362 Apr 28, 2024 #154,768 arsenal2004 said: Sifa za Man City mnaanza kutupa sisi...hii Ngoma tunabeba mwaka huu....dalili zipo waziwazi kabisa mnaanza Click to expand... Labda city adraw mbele ya forest leo bila hivo keep on dreaming brother
arsenal2004 said: Sifa za Man City mnaanza kutupa sisi...hii Ngoma tunabeba mwaka huu....dalili zipo waziwazi kabisa mnaanza Click to expand... Labda city adraw mbele ya forest leo bila hivo keep on dreaming brother
Aeko JF-Expert Member Joined Apr 15, 2021 Posts 599 Reaction score 1,362 Apr 28, 2024 #154,769 arsenal2004 said: Atake asitake atadondosha tu...kesho tupo na wanetu Nottingham Click to expand... forest yupo uwanjan leo sio kesho muda huu
arsenal2004 said: Atake asitake atadondosha tu...kesho tupo na wanetu Nottingham Click to expand... forest yupo uwanjan leo sio kesho muda huu
M momentoftruth JF-Expert Member Joined Jul 5, 2014 Posts 2,041 Reaction score 2,140 Apr 28, 2024 #154,770 mkorea said: Kuanzia Leo naanza kuchoma ubani game za city Mkae kwa kutulia, hii show ya city naimaliza Mimi Click to expand... Fanya kweli mwanangu
mkorea said: Kuanzia Leo naanza kuchoma ubani game za city Mkae kwa kutulia, hii show ya city naimaliza Mimi Click to expand... Fanya kweli mwanangu
Bukayo Saka JF-Expert Member Joined Nov 27, 2017 Posts 303 Reaction score 469 Apr 28, 2024 #154,771 arsenal2004 said: Atake asitake atadondosha tu🤠🤠🤠...kesho tupo na wanetu Nottingham Click to expand... Attachments Screenshot_20240428_184612_WhatsApp.jpg 777.6 KB · Views: 15
arsenal2004 said: Atake asitake atadondosha tu🤠🤠🤠...kesho tupo na wanetu Nottingham Click to expand...
Bukayo Saka JF-Expert Member Joined Nov 27, 2017 Posts 303 Reaction score 469 Apr 28, 2024 #154,772 ngoja niendele kumtizama Kai labda itafika muda nimuelewe kilamba lamba said: Gabby katoka majeruhi. Hata fittnes yake siyo ile aliyokuwa nayo kabla. Kwa sasa hivi Kai ni best performer over Gabby. Click to expand...
ngoja niendele kumtizama Kai labda itafika muda nimuelewe kilamba lamba said: Gabby katoka majeruhi. Hata fittnes yake siyo ile aliyokuwa nayo kabla. Kwa sasa hivi Kai ni best performer over Gabby. Click to expand...
I intelligent man JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 706 Reaction score 1,126 Apr 28, 2024 #154,773 Nottingham forest had Hz dk Wanapambana sana
kilamba lamba JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 427 Reaction score 738 Apr 28, 2024 #154,774 Gabby ajitume arudi uwanjani ule utatu kitambo sana haujaanza pamoja
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,193 Reaction score 74,000 Apr 28, 2024 #154,775 London is Red
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,080 Reaction score 16,052 Apr 28, 2024 #154,776 Aeko said: Labda city adraw mbele ya forest leo bila hivo keep on dreaming brother Click to expand... Bado hawajacheza na Spurs au ndo mlikua mnawahesabia watuzuie sisi tu?😃 Najua shauku yako ni sisi kukosa ubingwa, so stop pretending!
Aeko said: Labda city adraw mbele ya forest leo bila hivo keep on dreaming brother Click to expand... Bado hawajacheza na Spurs au ndo mlikua mnawahesabia watuzuie sisi tu?😃 Najua shauku yako ni sisi kukosa ubingwa, so stop pretending!
M momentoftruth JF-Expert Member Joined Jul 5, 2014 Posts 2,041 Reaction score 2,140 Apr 28, 2024 #154,777 Washakula chuma Forest
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,080 Reaction score 16,052 Apr 28, 2024 #154,778 London is RED🔴
Guacamole JF-Expert Member Joined Mar 19, 2019 Posts 6,080 Reaction score 16,052 Apr 28, 2024 #154,779 momentoftruth said: Washakula chuma Forest Click to expand... Hayo mtajua nyie!
IamMrLiverpool JF-Expert Member Joined Apr 27, 2014 Posts 4,743 Reaction score 7,096 Apr 28, 2024 #154,780 Chumaaaaaaaaa Gvardiooooool. Kenge nyie mtasubiri sana.