Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alikuwa kiwango ila hakuwa mfungaji mzuri, tangu aje arsenal niambie kafikisha double digits mara ngapi mkuu. Na kipindi amekuja alipewa nafasi kama anavyopewa Kai.
 
Alikuwa kiwango ila hakuwa mfungaji mzuri, tangu aje arsenal niambie kafikisha double digits mara ngapi mkuu. Na kipindi amekuja alipewa nafasi kama anavyopewa Kai.
Double digits anazipataje, aliumia game ya ngapi na alivyotoka majeruhi ndio hivyo namba kapoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…