Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
 
naona hata ile ID fake ya gwiji la Highbury imepotea🀣🀣🀣
 
Top of the league
 
Usimsumbue Hamisi kwa sasa yuko katika harakati za kuchukua jiko. Ukosefu wake hauna uhusiaono wowote na matokeo yetu ya hivi karibuni
 
Sawa ndugu mjumbe mwenyekiti wa ramliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Baada ya kushindwa kubeba kombe ,mmeanza kuokoteza
Hata ww ni mpiga ramli pia....hmu wte ni wapiga ramli....tunataka timu yetu ipate matokeo ila nyie mabalala yawakute🀠🀠🀠...na yatawakuta...kesho Jota anarudi wodini tena maana ile ndo hirizi yenu
 
Tuache kumpongeza kipara Guardiola ambaye anaenda kubeba Hilo kombe tuwapongeze nyny kwli??🀠🀠...unatuona wte hmu mafala sio....Walter White anaenda kuwavalisha medali ya mshindi WA pili tena....Sasa tukupongezeni kwa Hilo kwli??
 
Tuache kumpongeza kipara Guardiola ambaye anaenda kubeba Hilo kombe tuwapongeze nyny kwli??
...unatuona wte hmu mafala sio....Walter White anaenda kuwavalisha medali ya mshindi WA pili tena....Sasa tukupongezeni kwa Hilo kwli??
Masingeli products acheni roho za kwanini, yaani kutupongeza tu kwa kuingia fainali nyie mtapungukiwa nini?
Halafu kwani nyie mara ya mwisho kucheza fainali ilikua ni mwaka gani?
 
Siyo hivyo bro. Ni kwamba tu dunia nzima (siyo arsenal fans pekee) bado inashangaa mmeingiaje ingiaje fainali
 
kwahiyo ndo mnajidanganya nyie mnafanana na sisi?
mnajidanganya kuwa mmetuzidi kisa nyie mmefika nusu fainali fa......
hivi nyie nyumbu ni nani kawadanganya,tunaanzaje kubishana na watu wenye GD ya negative
ohoo jidanganye
 
Siyo hivyo bro. Ni kwamba tu dunia nzima (siyo arsenal fans pekee) bado inashangaa mmeingiaje ingiaje fainali
Hata msimu ulioisha mashabiki wa Arsenyo pia walishangaa hivyohivyo, wanajiuliza inakuaje kwa timu yao walioaminishwa na kina Masingeli kua ndio timu bora zaidi kuliko timu yoyote hapo Uingereza imemaliza msimu mikono mitupu bila ya kubeba hata kakikombe ka chai, Halafu timu mbovu kama ya Manyumbu wamemaliza ligi kwa furaha ya kunyanyua makwapa.
Nyie endeleeni tu kushangaa hivyohivyo huku mkihadaiwa na wahuni wachache kua GD mliyonayo Arsenyo ni GD ya dhahabu tena ni zaidi hata ya kubeba kombe

 
Masingeli products acheni roho za kwanini, yaani kutupongeza tu kwa kuingia fainali nyie mtapungukiwa nini?
Halafu kwani nyie mara ya mwisho kucheza fainali ilikua ni mwaka gani?
Kwa ule mpira na wale madogo siku ile mnataka mpongezwe nn wkti tunajua fedheha mtakayoenda kuipata huko mwshoni
 
Nimesema tu kwa sasa timu zetu zote ni nzuri, kuanzia watoto hadi akina dada na first team. Bado makombe tu.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† haya makombe mnayosubiri mnasubiri wapi!, Yaani toka kipindi cha wenger mnatengeneza team, hapo katikati tumeshuhudia mpaka Leicester kabeba kombe .
Nakumbuka mzee mmoja tunaangalia game akasema Arsenal hawezi kubeba kombe sababu makombe ni mazito πŸ˜†πŸ˜† hakuna anayeweza kunyanyua kombe .

Sijui jamii check wanasubiri nini kuhakiki kama nyie ni ma false hopers ili hii thread iitwe false hopers special thread maana ushahidi wote upo
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-174922~2.png
    1,017.6 KB · Views: 9
Nyie pigeni kelele tu ila mwisho wa msimu tunaenda kuwaondolea aibu ya Pep kubeba domestic treble na mpira wetu wa kausha damu huu.
Hapo ndipo Hamis atakubali kuwa 10Hag ni tactician.
 
Japo mi ni arsenal, ila huyo masingeli, sijui ma singledi apite kushoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…