Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Tangu mwaka 2019,ukitoa Hilo biriyani,una kombe gani la maana?Kisinia cha biriani na hiko kikombe cha kahawa vina tofauti gani🤠🤠...carling cup ilitakiwa waweke ziwe zinacheza timu zinazoshika nafasi ya 10 kushuka chini unazichanganya na timu za championship huko
Wenzio tuna UEFA ambayo wewe umetolewa nje na timu uliyokuwa unaiita mbovu😂
Na ushukuru,ungekutana na real Madrid angekufanyia mauaji ya kimbarii
Nasema uongo ndugu wajumbe?🤣🤣🤣🤣
Sisi tuna EPL ambayo wewe tangu 2004 last born wangu amezaliwa,na sasa kqgraduate chuo, arse8 hajagusa 🤣.
Tuna FA msimu juzi ambayo kwako ni historia.
Tuna Carabao msimu juzi na msimu leo ya moto motooo,unayooita kikombe cha chai ila bado kahawa yenyewe imekupiga chini hujainywa😆.
Hadi sasa timu ipo mikono mitupu haina kombe lolote na haeleweki hatma yake .. aluta continua tunaendelea tulipoishia Makombeless FC 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ramsdale ameona isiwe noma
Mshkaji kaamua kupiga fanta orange kisabato,no way maana asipokaa sawa hata fanta orange itampita babeki😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌