Hapa sioni Wa kumsimamisha huyu Juha,
Merseyside derby sikuhizi hamna kitu,
Leo Arsenal na City Maadui wakubwa wa Man U tulikua nyuma yenu, ila mnarusha mabukta yenu tuu kama kaniki, pumbav.
Sasa subiri tukutana nanyie, tutaendeleza atakapo ishia leo.
Alivyo mpuuzi leo hata ile GD anaweza aisawazishe huyu.