HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Kai ananikumbusha mimi nilivyokuwa shule nilikuwa mpole sana mpaka sikuweza kufikiriwa kuhusishwa na vitendo vyovyote visivyo sawa vya wanafunzi.kwenye ku dribble utamuonea ,hiyo kazi haiwezi
Wewe mpe kazi tu ya kuwasumbua mabeki wanaojifanya wajuaji
Kai ni mrefu sana futi 6 na inchi kadhaa
Halafu sio lain kama wengi wanavyodhani ,
Halafu ni mcheza rafu mzuri sana za kimya kimya ,
Hakuna beki anafurahia kucheza na Kai
Kuna siku mwalimu mmoja aliniudhi nikarivenji kwa kumuaribia mali yake flani. Baadae nikakutana nae akiwa amesikitika sana na akaanza kunieleza jinsi kuna mwanafunzi ameharibu mali yake, mimi namsikiliza tu. Akaniambia kabisa "Halafu HENRY14, namjua kabisa ni nani amefanya hivyo, na nitakachomfanya, maji ataita mma". Mimi nikampa pole pale nikamuaga nikasepa zangu.
Huwezi kudhani kama Kai ana kauhuni uwanjani.