HENRY14 JF-Expert Member Joined May 13, 2021 Posts 3,593 Reaction score 6,932 Apr 6, 2024 #152,641 allypipi said: kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje. Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa. Click to expand... Tumeteseka sana jangwani, ila sasa nchi ya ahadi tumeikaribia. Hivi punde tu, tukaingia nchi ya ahadi.
allypipi said: kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje. Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa. Click to expand... Tumeteseka sana jangwani, ila sasa nchi ya ahadi tumeikaribia. Hivi punde tu, tukaingia nchi ya ahadi.
Flano JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,844 Reaction score 16,298 Apr 6, 2024 #152,642 HENRY14 said: Tumeteseka sana jangwani, ila sasa nchi ya ahadi tumeikaribia. Hivi punde tu, tukaingia nchi ya ahadi. Click to expand... Nchi ya ahadi wataingia wajukuu zenu kama wakitubu ila sio kizazi hiki cha Sodoma na Gomora(Gay Gunners)
HENRY14 said: Tumeteseka sana jangwani, ila sasa nchi ya ahadi tumeikaribia. Hivi punde tu, tukaingia nchi ya ahadi. Click to expand... Nchi ya ahadi wataingia wajukuu zenu kama wakitubu ila sio kizazi hiki cha Sodoma na Gomora(Gay Gunners)
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,592 Reaction score 19,232 Apr 6, 2024 #152,643 Arsenal 4 vs Brighton 0
HENRY14 JF-Expert Member Joined May 13, 2021 Posts 3,593 Reaction score 6,932 Apr 6, 2024 #152,644 Flano said: Nchi ya ahadi wataingia wajukuu zenu kama wakitubu ila sio kizazi hiki cha Sodoma na Gomora(Gay Gunners) View attachment 2955674View attachment 2955675 Click to expand... Sijui kwanini mnapenda sana haya mambo. Kila club ina vyama vya supporters upinde. Sidhani kama kuna timu hata moja ulaya isiye na mashabiki wa upande wa upinde na wana vyama kabisa kama ilivyo Rainbow Devils Rainbow 🌈 😈 wa united
Flano said: Nchi ya ahadi wataingia wajukuu zenu kama wakitubu ila sio kizazi hiki cha Sodoma na Gomora(Gay Gunners) View attachment 2955674View attachment 2955675 Click to expand... Sijui kwanini mnapenda sana haya mambo. Kila club ina vyama vya supporters upinde. Sidhani kama kuna timu hata moja ulaya isiye na mashabiki wa upande wa upinde na wana vyama kabisa kama ilivyo Rainbow Devils Rainbow 🌈 😈 wa united
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,207 Reaction score 74,012 Apr 6, 2024 #152,645 Montserrat said: Ilikuwa nje ya box Click to expand... Haijawa hata freekick. Anyway, bahati muhimu pia
Montserrat said: Ilikuwa nje ya box Click to expand... Haijawa hata freekick. Anyway, bahati muhimu pia
verifaidi yuza JF-Expert Member Joined Sep 13, 2018 Posts 3,121 Reaction score 6,184 Apr 6, 2024 #152,646 Bayern wana shida gani? Nilitaka tumenyane nao wakiwa fit ila naona wamekua viande tu tutapiga nje ndani
Bayern wana shida gani? Nilitaka tumenyane nao wakiwa fit ila naona wamekua viande tu tutapiga nje ndani
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,207 Reaction score 74,012 Apr 6, 2024 #152,647 verifaidi yuza said: Bayern wana shida gani? Nilitaka tumenyane nao wakiwa fit ila naona wamekua viande tu tutapiga nje ndani Click to expand... Wako hovyo kwenye ligi ila wana uzoefu na CL. Tusidharau
verifaidi yuza said: Bayern wana shida gani? Nilitaka tumenyane nao wakiwa fit ila naona wamekua viande tu tutapiga nje ndani Click to expand... Wako hovyo kwenye ligi ila wana uzoefu na CL. Tusidharau
GenerationY Senior Member Joined Sep 12, 2020 Posts 174 Reaction score 325 Apr 6, 2024 #152,649 Starting XI #COYG🔥🔥
HENRY14 JF-Expert Member Joined May 13, 2021 Posts 3,593 Reaction score 6,932 Apr 6, 2024 #152,650 GenerationY said: Starting XI #COYG🔥🔥 View attachment 2955752 Click to expand... Siyo mbaya
verifaidi yuza JF-Expert Member Joined Sep 13, 2018 Posts 3,121 Reaction score 6,184 Apr 6, 2024 #152,651 Castr said: Wako hovyo kwenye ligi ila wana uzoefu na CL. Tusidharau Click to expand... Tukitolewa na Bayern hii chovu itakua ni fedheha
Castr said: Wako hovyo kwenye ligi ila wana uzoefu na CL. Tusidharau Click to expand... Tukitolewa na Bayern hii chovu itakua ni fedheha
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,207 Reaction score 74,012 Apr 6, 2024 #152,652 Huyu Jorginho, Zinchenko na Havertz leo wanakua dawa ya hizi low block
verifaidi yuza JF-Expert Member Joined Sep 13, 2018 Posts 3,121 Reaction score 6,184 Apr 6, 2024 #152,653 Naona Zinny ameanza ili tudominate possession, ila hatakiwi kuwa uwanjani zaidi ya dk 60
Camilo_Cienfuegos JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 11,378 Reaction score 15,385 Apr 6, 2024 #152,654 Duh Gabriel
United ya Ferguson JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 3,234 Reaction score 6,597 Apr 6, 2024 #152,655 kwahyo awa watoto dakika ya kwanza tu wanataka kuruhusu Goli
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,592 Reaction score 19,232 Apr 6, 2024 #152,656 Kitakacho mponza Brighton hii Tania yake ya kutaka kupishana Akae nyuma apigwe chache au akutane na fedheha
Kitakacho mponza Brighton hii Tania yake ya kutaka kupishana Akae nyuma apigwe chache au akutane na fedheha
United ya Ferguson JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 3,234 Reaction score 6,597 Apr 6, 2024 #152,657 Montserrat said: Duh Gabriel Click to expand... ilikua tondoke hiyo
United ya Ferguson JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 3,234 Reaction score 6,597 Apr 6, 2024 #152,658 mkorea said: Kitakacho mponza Brighton hii Tania yake ya kutaka kupishana Akae nyuma apigwe chache au akutane na fedheha Click to expand... wanakutuboa awa wew shangaa tu
mkorea said: Kitakacho mponza Brighton hii Tania yake ya kutaka kupishana Akae nyuma apigwe chache au akutane na fedheha Click to expand... wanakutuboa awa wew shangaa tu
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,592 Reaction score 19,232 Apr 6, 2024 #152,659 United ya Ferguson said: wanakutuboa awa wew shangaa tu Click to expand... Unaangamia kwa kukosa maarifa
United ya Ferguson said: wanakutuboa awa wew shangaa tu Click to expand... Unaangamia kwa kukosa maarifa
United ya Ferguson JF-Expert Member Joined Oct 29, 2021 Posts 3,234 Reaction score 6,597 Apr 6, 2024 #152,660 mkorea said: Unaangamia kwa kukosa maarifa Click to expand... Ngoja tuone wew mwenye maarifa unavyodondosha ubigwa
mkorea said: Unaangamia kwa kukosa maarifa Click to expand... Ngoja tuone wew mwenye maarifa unavyodondosha ubigwa