Timu zote za juu zinaweza kudrop point(s) kwa yeyote. Na opponents waliobaki vs top 3 teams wanafanana fanana.Sema nini wazee hapa tutaambulia vumbi ,kumkimbiza Liverpool aliyejeruhiwa huko nyuma Kwa point 3 ,harafu bado game 9,inahitajika miujiza
Halafu tumemiss sana kupiga watu 5g. Hawa watatupa points zetu 3 kwa mtindo wetu pendwa wa 4g, 5g na kuendelea
Hata united hawakutana City ashinde ili wakaribie kubeba ubingwa ila kitu pekee chakuamia ni Uwezo basi.Nikilala nikiamka katika 9 games to go kuna wapumbavu Chelsea and Tottenham hawa watu wa London ,they will not want Arsenal awe bingwa wa EPL watakaza fuvu kweli kweli
SasMsimu ilioisha gundu lilianza baada ya kudraw na Liverpool, mechi iliyofata mkadraw na Westham, halafu mkadraw tena na Southampton kisha mkaenda kogongwa na Mancity na ndio ukawa mwisho wa matumaini hewa.
Msimu huu naona mambo kama yanaenda kujirudia tena vilevile ila Opponents ndio tofauti, mmeanza kudraw na City halafu jumatano mko na Luton, anakuja Brighton, kisha Aston Villa, halafu kuna Chelsea na Spurs kisha msumari wa utosi mnaenda kugongelewa pale kiumeni kwenye matofali ya kuchoma.
Mateso bado yako palepale tu, yaani mpaka msemeeeeView attachment 2950351
Mmeshabadili beat sasahivi...mchana mlikuwa mnatupiga mikwara hapa kwmba tunaenda kufumuliwa kwlikwli...mliloombea halijatokea mnaanza kuja na mikwara ya kina Chelkenge na Manunu...ndugu zetu TAfuteni makocha wa kueleweka...Manunu na Chelkenge wte Watakula 3+...Spurs sio shida yetu..hao kina Aston Villa na Luton sijui wajiandae na kono la nyani...mwaka huu tusipobeba kwa point tutabeba kwa magoli...tabu ipo palepale....tunawaomba sana ikifika mechi ya Bayern mje kuwanga tena Ili tufanye yetu
Sas
Unapokuwa Shabiki wa manure akili huwa na ujazo wa Kisoda cha PEPSI take away.Tunamsubiri Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi atuchambulie hii haramu football toka kwa Master Class of failure.
View attachment 2950364
Narudia tena...mlitutishia hmu ndani kama hao Mama Cita wanatoka sayari ya Jupiter wakati wanakata magogo kama wenzao tu...Sasa mechi ngumu imeisha leo🤠🤠...kama mnategemea tukwame pigeni Dua nusu ya kikosi waumie wte...vngnevyo 5g show yake inarudi upya....Uzuri Mungu hua hakunyimi vyote, anakunyima Makombe lakini anakupa mdomo.
Raha ya Arsenyau ni zile mechi za mwisho za kumaliza ligi, jinsi tunavyoshuhudia matumaini hewa yanavyo yeyuka na kua kilio na majuto kwenye hili jukwaa pendwa.
Unapokuwa Shabiki wa manure akili huwa na ujazo wa Kisoda cha PEPSI take away.
Last seasonTunamsubiri Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi atuchambulie hii haramu football toka kwa Master Class of failure.
View attachment 2950364
Sisi huwa tuna screenshot coment tuNyny ni kuku mwnye kideri...Kila siku huwa nasema na nitasema tena...zaidi ya Counter hakuna mnachokicheza...mkidundwa gemu moja tu msahau kurudi pale juu...mechi ngumu tumemaliza leo...mkiwategemea kina Spurs sijui..kina Manunu au Brighton watuzuie mnajidanganya...biashara yetu ya kono la nyani inaanza upya j5...hata mkimaliza ligi mpo point sawa na sisi bado kombe mtaliota tu...
Wenger style matokeo yapo hivi. Sisi tulienda kuwa neutralize Man City.Mourinho style
Fanya hvyo Boss...narudia tena...nyny ni kuku kishingo🤠🤠🤠...haihitaji upepo kuweza kujua shingo Ina ukubwa gani kupitisha kisu...mna kikundi kilichobobea kucheza counter attack tuSisi huwa tuna screenshot coment tu