Hata mimi enzi zangu za kucheza 11 na 10 halafu nilikuwaga sprinter, ningewaambia wanipitishie tu upande wa Lewis nitoke nduki. Nisingekosa goli 1 na assists mbiliRudisha miaka 10 nyuma, nikiwa kwenye prime huyu dogo Lewis ndio ingekua njia yangu
KDB kutokua form inatokana pia na nafasi ambazo wanakuepo leo tukiwa hatuna mpira winger zetu Jesus na Saka wanakua kwenye half space, kwaiyo KDB hana uhuru na eneo hilo hata kidogo ila kipindi cha pili kitakua kipindi cha kivutia sana tofauti na chakwanzaKimsingi Pep ametuhofia au anataka atuue mapema. Ameingiza watu hawana fitness matokeo yake Ake ameenda kitandani
De bruyne hayupo form
Hii game Arteta ndio anailealea tu
Kipa wa City ni kama hana kazi leo kwa sababu tunacheza bila kushambulia vilivyo. Huyu City tunatakiwa kumchukulia kama West Ham tu.Rice bado ni mchezaji ambaye bei yake haitozungumziwa. Tunakosa Fluid movement ya transition kwakua Kai anakua chini au mbali na mwenye mpira ila kutransition kwa pamoja.
Jorginho yupo kwaajili ya vision na pasi ila hakuna runs za msingi kutoka kwa forwards zetu. City wana huyu kipa namba 2 na hatujaamua kumjaribu why?
Jorginho wana mpin wachezaj wawili asipate mpira kama umeangalia vzr kwaiyo hata kupokea mpira ni ngumu sana kwakeRice bado ni mchezaji ambaye bei yake haitozungumziwa. Tunakosa Fluid movement ya transition kwakua Kai anakua chini au mbali na mwenye mpira ili kutransition kwa pamoja.
Jorginho yupo kwaajili ya vision na pasi ila hakuna runs za msingi kutoka kwa forwards zetu. City wana huyu kipa namba 2 na hatujaamua kumjaribu why?
Kuna muda mbinu zikizid mechi haivutii Bora Nyumbu wanavyochezacheza hua kuna raha yake
Safi sanaOur ladies are league cup winner. Co gratulations
City ametuhofia Sana, lakin lazima afemechi inaboa hii
Tunawaachia sana watuchezee bolimechi inaboa hii
yani mmetaitiwa vibaya sana kuna elekea mtajifunga sasa.City ametuhofia Sana, lakin lazima afe
City anakufa hii gameyani mmetaitiwa vibaya sana kuna elekea mtajifunga sasa.