Friends of...
Nooo, hao wajomba mnaocheza nao leo hawahitaji u-friend na mtu yeyote.
Kama unasikiaga phrase "kumkata ngebe" ndo leo sasa.
Sio kwa ubaya, mwenye matokeo ya City vs KONDOO mechi 20 za mwisho hapo Etihad ayatume tuyaone. Flano
ila ratiba yetu imekaa kiroho mbaya sana aseLeo wakukaba ni kdb, Bernardo na Rodri tu. Haaland akikosa msaada wa hao watu huwa anakua beki wetu
Walker ndio hayupo waliobaki Full backs za city zote hazina mwendo. Hii ndio iwe advantage ya kumpigia city
Saka na martinel hii ni show yao
King Kai as cheat code
Odegard master mind
Possession sijajua atachukua Nani, ila points 3 tunaondoka nazo iwe kwa kutaka au kibabe
View attachment 2950114
asa asikuzwe kwanin wakati kaonesha ubora na kila mtu kaona we ulitaka akuzwe Roy hoddson ndio ungeona rahanyie kenge na nyumbu huwa mnamkuza sana pep
hebu kuwa bize kidogo kwenye jukwaa lenuMkuu nimetoka kuangalia matokea ya Last 50 games Arsenyo vs Mancity aibu nimeona mimiView attachment 2950119
Game yetu ngumu ni Ile na Wolverhamptonila ratiba yetu imekaa kiroho mbaya sana ase
yaani baada mechi ya leo bado kuna villa, mara brighton
eboo!.......
Awe bize kule kwa lipi🤠🤠...wao wameshakubali Kila mechi wawe wanapelekewa pumzi ya moto...wakibahatisha Wana draw kama jana..mambo yakienda mrama wanafumuliwa kwlikwli....muache ashinde hmu aendelee kuwanga huku aki enjoy bolu linavyotembea🤠🤠hebu kuwa bize kidogo kwenye jukwaa lenu
unazingua man
John Stones is in the Manchester City squad, per reports. It’s the second time Pep Guardiola has completely lied about his fitness ahead of a game against Arsenal. He’s scared.
Pep hatamani hata kidogo kukutana na arsenal hii, Ila hana namna
Alete janja janja lakini lazima alambwe kichwa
Binafsi hakuna mchezaji ninae muhofia pale cityAmuanzishe kabisa ikiwezekana...sisi tunachotaka mpira uchezwe...mwnye nguvu atashinda
Pep ameaanza na kdb, covasic, debardo. Plan A yake ni kuwin midfield
Tumeshakubaliana hii arsenal ya sasa sio ya zamani. Wasiwasi unatoka wapiPresha sasa.
Liva anaongoza.
Hii presha ndiyo hua inatushinda
Swala la kutufunga mnajitekenya na kucheka wenyewe tu Mzee ,Leo tunawakanda kudadekiiiTumeshakubaliana hii arsenal ya sasa sio ya zamani. Wasiwasi unatoka wapi
Mechi muhimuKatika vyanzo vyangu vya kuaminika kabisa
City 0 vs Arsenal 2