Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo wakukaba ni kdb, Bernardo na Rodri tu. Haaland akikosa msaada wa hao watu huwa anakua beki wetu
Walker ndio hayupo waliobaki Full backs za city zote hazina mwendo. Hii ndio iwe advantage ya kumpigia city

Saka na martinel hii ni show yao

King Kai as cheat code

Odegard master mind

Possession sijajua atachukua Nani, ila points 3 tunaondoka nazo iwe kwa kutaka au kibabe
 
Friends of...

Nooo, hao wajomba mnaocheza nao leo hawahitaji u-friend na mtu yeyote.

Kama unasikiaga phrase "kumkata ngebe" ndo leo sasa.

Sio kwa ubaya, mwenye matokeo ya City vs KONDOO mechi 20 za mwisho hapo Etihad ayatume tuyaone. Flano
Mkuu nimetoka kuangalia matokea ya Last 50 games Arsenyo vs Mancity aibu nimeona mimi
 
ila ratiba yetu imekaa kiroho mbaya sana ase
yaani baada mechi ya leo bado kuna villa, mara brighton
eboo!.......
 
John Stones is in the Manchester City squad, per reports. It’s the second time Pep Guardiola has completely lied about his fitness ahead of a game against Arsenal. He’s scared.

Pep hatamani hata kidogo kukutana na arsenal hii, Ila hana namna
Alete janja janja lakini lazima alambwe kichwa
 
Amuanzishe kabisa ikiwezekana🤠🤠...sisi tunachotaka mpira uchezwe...mwnye nguvu atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…