Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man utd A.K.A timu ya vilema . badala mpambane na timu yenu ipate matokeo ,mnakuja kutuimbia mapambio na ngonjera huku siku nzima.


Ona sasa mmetoa draw .. yaan mmefunga goli hata hamjashusha mikono, goli likarudishwa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Brentford 1 : 1 wildebeest


Ila uzur wa man utd mna hamia man cty soon ndio inawapa furaha kidogo ..
 
Its today or ne
Friends of...

Nooo, hao wajomba mnaocheza nao leo hawahitaji u-friend na mtu yeyote.

Kama unasikiaga phrase "kumkata ngebe" ndo leo sasa.

Sio kwa ubaya, mwenye matokeo ya City vs KONDOO mechi 20 za mwisho hapo Etihad ayatume tuyaone. Flano
Mkuu unateseka sana.anyway bet kistaarabu mkuu
 
Gabriel Martinelli, Bukayo saka and gabriel magalhΓ£es all are travelled with arsenal squad ahead of manchester City.
 
Jana Dortmund kampiga Bayern na alikua na huo ukame kwa miaka 10.

Kijiti kipo kwetu sasa.

Anaweza akatususia mpira kama game ya msimu uliopita au kama alivyocheza na Liva msimu huu. Tukimess up ana Haaland, Alavarez.

Ukijisahau ukaacha mpira kwenye 23 yards kuna long shot merchants wawili, Rodri na De Bruyne.

I think wana mbinu nyingi za kufunga on the regular kuliko sisi.

Ila kubwa kuliko ni mentality. Pep anasema bado kikos chake kina attitude ya "Unataka kuchukua taji letu? Tupigane kwanza" wametuacha hapo, but kiukweli tumeimprove tofauti na misimu iliyopita.

Shaky, ila tumejitahidi kuimprove.

Akishinda City sitoshangaa tukishinda sitoshangaa
 
Binafsi nilikua napenda tungeingia hivi



Martinel. .................... Kai...............................saka
.
.
......Rice....................partey.................... odegard
.
.
.Zin................ Gabriel....Saliba....................White
.
.
..................................Raya


City anakufa 3 kavu za bila ubishi
 
Hapo kwa Party partey aanze joginho . Dkk y 60 aingie fundi partey kwa ajili ya msako
 
nyie kenge na nyumbu huwa mnamkuza sana pep
 
kwani martinel atakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…