pigaaaa haooooo kenge ArsenalNyie makalio fc, nawakumbusha mpo na city leo, msijikaushe.View attachment 2949859
Mkuu unateseka sana.anyway bet kistaarabu mkuuFriends of...
Nooo, hao wajomba mnaocheza nao leo hawahitaji u-friend na mtu yeyote.
Kama unasikiaga phrase "kumkata ngebe" ndo leo sasa.
Sio kwa ubaya, mwenye matokeo ya City vs KONDOO mechi 20 za mwisho hapo Etihad ayatume tuyaone. Flano
Baadae wasije wakala Kona wte hmu ndaniπ€ π€ π€ ...huwa kuna katabia matokeo yakienda kinyume na walivyotarajia....hawarudi hata kutoa pongeziIts today or ne
Mkuu unateseka sana.anyway bet kistaarabu mkuu
Mm sio manjesta,mm naiamini timu yangu aiseehii ndo zile siku hamis77 upotea jumla kabisa
Liver ball na msako wanaanzaga kutembeza second half90 seconds mtu keshalizwa
Hapo kwa Party partey aanze joginho . Dkk y 60 aingie fundi partey kwa ajili ya msakoBinafsi nilikua napenda tungeingia hivi
Martinel. .................... Kai...............................saka
.
.
......Rice....................partey.................... odegard
.
.
.Zin................ Gabriel....Saliba....................White
.
.
..................................Raya
City anakufa 3 kavu za bila ubishi
nyie kenge na nyumbu huwa mnamkuza sana pephawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009
reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash
mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
kwani martinel atakuwepo?Binafsi nilikua napenda tungeingia hivi
Martinel. .................... Kai...............................saka
.
.
......Rice....................partey.................... odegard
.
.
.Zin................ Gabriel....Saliba....................White
.
.
..................................Raya
City anakufa 3 kavu za bila ubishi
Yupo na teamkwani martinel atakuwepo?