Ni rahisi kumpigisha mamba mswaki kuliko Arsenyo kumfunga Mancity kwenye uwanja wa Ettihad.Sikumbuki ni lini mara ya mwisho Arsenal alipoteza mchezo wakati Antony Taylor akiwa ni referee. Tunakuwaga na bahati naye
kumbuka unaecheza nae ni naniMamacita wanatamani siku zigande lakini haiwezekani. Vilio na watu kuondoka uwanjani mapema vimekaribia
Acha wenge. Mbinu kibao za kipara kazichukulia kwa Arteta 😂hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009
reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash
mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
hawa machalii japo tunawaombea walibebe hili kombe la ligi ila ni wana dharau utafikiri timu yao ni prime Barcelona ya 2009
reminding you... your facing pep Guardiola the goat of the goat coach real arsenal fans wanajua haitakuwa rahisi but its good keeping hopes up and motivating each other toward the clash
mechi ikikaza sana draw ila mbali na hapo arteta atarudishwa kwa maranyinge darasani na his previous tactical masterclass teacher
Ni suala jepesi sana Arsenalndoo kubeba EPL msimu huu kuliko Manyumbu kumaliza top 4...nyny ni fungu la kukosa na tyri laanq imeshahamia kwenu..Mkuu hawa sio wa kuwaombea wabebe kombe la ligi, kama unahuruma sana ni bora uwaombee njaa tu.
Hawa kina Masingeli na chawa zake wanatakiwa wateseke jangwani miaka 40 kama wana wa Israel, halafu nchi ya ahadi waje kuishuhudia wajukuu zao wakati wenyewe wakiwa tayari wamesharudi mavumbini
Ni suala jepesi sana Arsenalndoo kubeba EPL msimu huu kuliko Manyumbu kumaliza top 4...nyny ni fungu la kukosa na tyri laanq imeshahamia kwenu..
Unaandika kwa ujasiri huku mapigo ya moyo yako juu.
Ntakuwa na presha nikitaka kucheza na Brighton mkuu...sio hyu Guardiola...tutampapasa kama tulivyofanya mechi ilopita..atamaliza sana chupa za maji safari hii
Nenda Twitter utakutana naye...huku tupo sisi tunaoweza kudili na wazee wa busara kama nyny...j2 kipara anakula makofi palepale uwanjani kwao....yaani akatoe draw na Chelkenge halafu sisi aje kutusumbua....atafute beki za kueleweka...Walker na Stones washatupa taulo....hawataki kuteguliwa nyongaNdugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Wewe kenge ,tutampasua bwana enu man city ,halafu tunawangoja nyieNdugu yako Masingeli ameshashtukia mtego, jumapili Arsenyau anaenda kupigwa kipigo cha paka mwizi ndio maana anaogopa kutia neno kuhusu mechi ijayo, nakushangaa wewe chawa wake mpaka dakika haujashtukia gharika mnayoenda kukutana nayo.
Ninachomkubali Masingeli jamaa hua lina machale kinoma, lilivyokua na akili nyingi sasa hivi utakuta limeshazima na simu kabisa ataiwasha baada ya mechi 2 zinazofata endapo Arsenyau itashinda.
Wewe kenge ,tutampasua bwana enu man city ,halafu tunawangoja nyie
Nipo Twitter napambana na Nyumbu, chelkenge na TASAF(livakenge)
Tuna timu yakupiga umbwa yeyote yule
Manjesta mshajikatia tamaa ,mmebaki kuwa wapiga debe wa MamacitaMasingeli kumbe upo?
Nilijua tayari machale yameshakucheza na kuamua kuwakimbia kondoo wako.
Kwa hio Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi
Mkishagongwa hio jumapili utakuja na ile Slogan yako ya "mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendelea" au safari hii una slogan nyingine mpya?