Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwamba nyie mna world class kocha?


Umeanza kuvuta bangi sasa


Hakika mmeshakata tamaa

Hata michuano ya ulaya UCL mtaisikia kwenye bomba
 
shabiki wengi wa nyumbu na kenge ndo wanatuletea
tafrani huku kwenye chimbo letu,wanaboa kinoma!!
kwanini wamekimbia kule kwao?
kuna mmoja wa nyukesto siku za hapo nyuma alikuwa analeta
pigo hizihizi ila wana walimkalisha,amepotea
naona siku si nyingi na hawa watatulizwa tu
 
Hawa msimu ujao watacheza Europa..na tunajua wakileta kimbelembele cha kwnda nusu fainali kule tunawakutanisha na Sevilla🤠🤠..hapo nadhani inajulikana nn kitatokea ndugu zangu
Kwamba nyie mna world class kocha?


Umeanza kuvuta bangi sasa


Hakika mmeshakata tamaa

Hata michuano ya ulaya UCL mtaisikia kwenye bomba
 
Kwamba nyie mna world class kocha?


Umeanza kuvuta bangi sasa


Hakika mmeshakata tamaa

Hata michuano ya ulaya UCL mtaisikia kwenye bomba
Hatuna world class coach lakini walau anaonesha mwanga wa kubeba makombe sio kama Mateka.
Msimu wake wa kwanza tu na kaikuta timu ni mbovu kwelikweli lakini kafanikiwa kubeba kombe na kumaliza ligi nafasi ya 3.
Msimu huu wa pili anaelekea kwenye fainali.

Mateka ana miaka 5 hapo kwenu lakini kaishia kupata kikombe kimoja na kafanikiwa kwa mara ya kwanza kuingia top 4.
Kwa kua Arsenyo ni mid table team, hata mashabiki wake wana mentality za ki mid table ndio maana wengi wao wanaona GD, pressing & overloading kwao ni archivements kubwa sana.

Sio chuki wala roho mbaya ila tunapenda kuwaona na nyinyi ndugu zetu walau mara moja moja mnakua na furaha kwa kubeba makombe makubwa ndio maana tunawashauri kwa nia njema kabisa kua mtafute kocha wa kueleweka.

Mateka hatawafikisha popote labda kama mmeridhika wenyewe na vikombe vya Emirates, Mateka mwenyewe tokea aanze kucheza mpira hajawahi kushinda kombe lolote la maana mpaka anastaafu kucheza mpira.
 
Umeongea kama nyumbu typical...umesema Arteta amebeba ndoo na wenu kabeba ndoo halafu msimu huu anaenda final ambayo tunajua kabisa atadundwa🤠🤠...mjiandae kwnda Europa kunyooshwa na Sevilla...zile sasahv ndo level zenu za michuano...na mkileta ujinga msimu unaofuata mtaenda kucheza Conference league kabisa na kina Fulham huko
 
Mateka miaka yote 5 kaishia kupata kakikombe kamoja ka FA, tena akapata hako kakikombe kipindi cha Corona(FA Corona Cup) Arsenyau kuja kupata kikombe kingine chochote mpaka litokee janga lingine kubwa la ugonjwa duniani.
Baba Ubaya yeye mwaka wake wa kwanza tu kukabidhiwa timu watu tumenyanyua makwapa, na mwaka wa pili tunaelekea fainali.
Hebu piga mwenyewe hesabu huyu kocha wa ball mpaka akifikisha miaka 5 kama Mateka sisi Man Utd makwapa yetu si yatakua yanauma?
 
Corona haichezi mpira uwanjani....halafu hyu baba Ubaya a.k.a Walter White mzee wa Breaking bad..ile papatu ya mwaka jana haitakaa ijirudie tena...hakuna kombe atapata msimu huu🤠🤠...na kiufupi tu anasubiri awapeleke kule Europa maana kule ndo anaona atapaweza wakati anasahau kuna kina Sevilla na Galatasaray kule wanabonda kinyama
 
Tuseme Mara ngapi, hii ndio phase ya makombe


Epl tunaongoza ligi,
game ngumu iliyobaki Ni moja tu vs wolves ambayo tutakua away

Uefa tunafikiria Kati ya city na Madrid hapa tutakutana na Nani?
🤣 we jamaa🤣
 

Attachments

  • IMG_20240320_010029.jpg
    37.4 KB · Views: 12
Flano alianza Kama mchawi wetu kutia maneno ya nuksi na mikosi, mbaya zaidi uchawi hauendi kwa mentally (the gunner)

Sasa ameamua kuwa mganga kabisa, kila kukicha yeye anakuja na lamli tu

#arsenalNDOO
View attachment 2943743
Ndugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.
Kama kweli mna nia ya kubeba makombe tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, achaneni na hizo false hopes anazowalisha Masingeli kuhusu Mateka na takwimu zake za uchwara.
Mateka kipindi chake anacheza mpira alisha prove kua ni failure, halafu nyinyi mnategemea mpate matokeo mazuri kwa kufundishwa na mwalimu ambae naye pia alifeli, Mateka kwenye historia yake ya kucheza soka la kulipwa hajawahi kushinda kombe lolote la maana zaidi ya kombe la FA.
kiufupi Arsenyo haina tofauti yoyote na hizi shule zetu za St. Kayumba ambazo zinafundishwa walimu waliofeli secondary, matokeo yake mtoto anamaliza darasa la 7 halafu hajui kusoma wala kuandika.
Mateka ni Mid table coach, hata mentality zake unaziona kabisa ni za kufundisha Mid Table Team, humu mnadanganyana mwanzo wa msimu halafu mnapofika mwisho wa msimu mnaanza kugundua kua mna Avarage coach ambae hawezi kuwafikisha popote, matusi yanakua mengi humu halafu msimu mpya ukianza mnasahau kabisa kiini cha matatizo ya timu yenu mnakuja tena na ngonjera hizohizo, ndio maana kuna wachambuzi wakubwa wa soka hua wanawachambua mpaka mashabiki wa Arsenyani na kuwaweka kwenye level ya misukule
 
Hizo ni emotional tu, Zitunze Sana hizo risiti maana meseji zako za kichawi chawi nazo tumezitunza. Tutakuna may
 
Tutajie kocha wa kueleweka kwa Sasa ambaye amempita Arteta tactical capacity...tupe list ya makocha watatu tu ambao wakiwekwa pale Arsenal watafanya maajabu...Angalizo; usitutajie Kipara Baba Ubaya Ten Hag hapa
 
Mchezaji gani kwenye timu ya Arsenal wanawake, unamkubali?
Mimi wapo kama sita:
1. McCabe, huyu hata Stars anaanza
2. Lotte Wuben-Moy, Stars anaanza
3. Leah Williamson
4. Little
5. Mead, kidogo na
6. Blackstenius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…