Kwamba nyie mna world class kocha?Labda kama unamaanisha makombe ya chooni.
Kwa mid table coach mliye nae mtakua mnatukanana humu kila mwisho wa msimu.
Acheni ubahili tafuteni kocha wa kueleweka, Arteta sio kocha mbaya ila ni avarage kocha wa Mid table team kama Brighton, Everton, Brentford e.t.c
Kila msimu mtakua mnaishia kusifia pressing & overloading halafu mwisho wa ligi mnamtukana kocha humu. View attachment 2942602
Kwamba nyie mna world class kocha?
Umeanza kuvuta bangi sasa
Hakika mmeshakata tamaa
Hata michuano ya ulaya UCL mtaisikia kwenye bomba
Kwamba nyie mna world class kocha?
Umeanza kuvuta bangi sasa
Hakika mmeshakata tamaa
Hata michuano ya ulaya UCL mtaisikia kwenye bomba
Umeongea kama nyumbu typical...umesema Arteta amebeba ndoo na wenu kabeba ndoo halafu msimu huu anaenda final ambayo tunajua kabisa atadundwa🤠🤠...mjiandae kwnda Europa kunyooshwa na Sevilla...zile sasahv ndo level zenu za michuano...na mkileta ujinga msimu unaofuata mtaenda kucheza Conference league kabisa na kina Fulham hukoHatuna world class coach lakini walau anaonesha mwanga wa kubeba makombe sio kama Mateka.
Msimu wake wa kwanza tu na kaikuta timu ni mbovu kwelikweli lakini kafanikiwa kubeba kombe na kumaliza ligi nafasi ya 3.
Msimu huu wa pili anaelekea kwenye fainali.
Mateka ana miaka 5 hapo kwenu lakini kaishia kupata kikombe kimoja na kafanikiwa kwa mara ya kwanza kuingia top 4.
Kwa kua Arsenyo ni mid table team, hata mashabiki wake wana mentality za ki mid table ndio maana wengi wao wanaona GD, pressing & overloading kwao ni archivements kubwa sana.
Sio chuki wala roho mbaya ila tunapenda kuwaona na nyinyi ndugu zetu walau mara moja moja mnakua na furaha kwa kubeba makombe makubwa ndio maana tunawashauri kwa nia njema kabisa kua mtafute kocha wa kueleweka.
Mateka hatawafikisha popote labda kama mmeridhika wenyewe na vikombe vya Emirates, Mateka mwenyewe tokea aanze kucheza mpira hajawahi kushinda kombe lolote la maana mpaka anastaafu kucheza mpira.
View attachment 2942721
Umeongea kama nyumbu typical...umesema Arteta amebeba ndoo na wenu kabeba ndoo halafu msimu huu anaenda final ambayo tunajua kabisa atadundwa...mjiandae kwnda Europa kunyooshwa na Sevilla...zile sasahv ndo level zenu za michuano...na mkileta ujinga msimu unaofuata mtaenda kucheza Conference league kabisa na kina Fulham huko
Corona haichezi mpira uwanjani....halafu hyu baba Ubaya a.k.a Walter White mzee wa Breaking bad..ile papatu ya mwaka jana haitakaa ijirudie tena...hakuna kombe atapata msimu huu🤠🤠...na kiufupi tu anasubiri awapeleke kule Europa maana kule ndo anaona atapaweza wakati anasahau kuna kina Sevilla na Galatasaray kule wanabonda kinyamaMateka miaka yote 5 kaishia kupata kakikombe kamoja ka FA, tena amepata hicho kikombe kipindi cha Corona(Corona Cup) Arsenyau kuja kupata kikombe kingine chochote mpaka litokee janga lingine la ugonjwa duniani.
Baba Ubaya yeye mwaka wake wa kwanza tu kukabidhiwa timu watu tumenyanyua makwapa, na mwaka wa pili tunaelekea fainali.
Hebu piga mwenyewe hesabu huyu kocha wa ball mpaka akifikisha miaka 5 kama Mateka sisi makwapa si yatakua yanauma?
Kapimwa umri na Vinicius, nyama za paja zimembana!Kyle Walker has been subbed off due to injury.
Good for usDeschamp kwake bora amchezeshe RB kama CB kuliko kumpa nafasi SALIBAView attachment 2943279
🤣 we jamaa🤣Tuseme Mara ngapi, hii ndio phase ya makombe
Epl tunaongoza ligi,
game ngumu iliyobaki Ni moja tu vs wolves ambayo tutakua away
Uefa tunafikiria Kati ya city na Madrid hapa tutakutana na Nani?
Flano alianza Kama mchawi wetu kutia maneno ya nuksi na mikosi, mbaya zaidi uchawi hauendi kwa mentally (the gunner)
Sasa ameamua kuwa mganga kabisa, kila kukicha yeye anakuja na lamli tu
#arsenalNDOO
View attachment 2943743
Hizo ni emotional tu, Zitunze Sana hizo risiti maana meseji zako za kichawi chawi nazo tumezitunza. Tutakuna mayNdugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.
Kama kweli mna nia ya kubeba makombe tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, achaneni na hizo false hopes anazowalisha Masingeli kuhusu Mateka na takwimu zake za uchwara.
Mateka kipindi chake anacheza mpira alisha prove kua ni failure, halafu nyinyi mnategemea mpate matokeo mazuri kwa kufundishwa na mwalimu ambae naye pia alifeli, Mateka kwenye historia yake ya kucheza soka la kulipwa hajawahi kushinda kombe lolote la maana zaidi ya kombe la FA.
kiufupi Arsenyo haina tofauti yoyote na hizi shule zetu za St. Kayumba ambazo zinafundishwa walimu waliofeli secondary, matokeo yake mtoto anamaliza darasa la 7 halafu hajui kusoma wala kuandika.
Mateka ni Mid table coach, hata mentality zake unaziona kabisa ni za kufundisha Mid Table Team, humu mnadanganyana mwanzo wa msimu halafu mnapofika mwisho wa msimu mnaanza kugundua kua mna Avarage coach ambae hawezi kuwafikisha popote, matusi yanakua mengi humu halafu msimu mpya ukianza mnasahau kabisa kiini cha matatizo ya timu yenu mnakuja tena na ngonjera hizohizo, ndio maana kuna wachambuzi wakubwa wa soka hua wanawachambua mpaka mashabiki wa Arsenyani na kuwaweka kwenye level ya misukuleView attachment 2943825View attachment 2943826View attachment 2943827View attachment 2943828View attachment 2943829View attachment 2943830View attachment 2943831View attachment 2943832
Tutajie kocha wa kueleweka kwa Sasa ambaye amempita Arteta tactical capacity...tupe list ya makocha watatu tu ambao wakiwekwa pale Arsenal watafanya maajabu...Angalizo; usitutajie Kipara Baba Ubaya Ten Hag hapaNdugu yangu mkorea mimi sio mganga wala mchawi ila shida ya timu yenu wala haitaji rocket science kuelewa.
Kama kweli mna nia ya kubeba makombe tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, achaneni na hizo false hopes anazowalisha Masingeli kuhusu Mateka na takwimu zake za uchwara.
Mateka kipindi chake anacheza mpira alisha prove kua ni failure, halafu nyinyi mnategemea mpate matokeo mazuri kwa kufundishwa na mwalimu ambae naye pia alifeli, Mateka kwenye historia yake ya kucheza soka la kulipwa hajawahi kushinda kombe lolote la maana zaidi ya kombe la FA.
kiufupi Arsenyo haina tofauti yoyote na hizi shule zetu za St. Kayumba ambazo zinafundishwa walimu waliofeli secondary, matokeo yake mtoto anamaliza darasa la 7 halafu hajui kusoma wala kuandika.
Mateka ni Mid table coach, hata mentality zake unaziona kabisa ni za kufundisha Mid Table Team, humu mnadanganyana mwanzo wa msimu halafu mnapofika mwisho wa msimu mnaanza kugundua kua mna Avarage coach ambae hawezi kuwafikisha popote, matusi yanakua mengi humu halafu msimu mpya ukianza mnasahau kabisa kiini cha matatizo ya timu yenu mnakuja tena na ngonjera hizohizo, ndio maana kuna wachambuzi wakubwa wa soka hua wanawachambua mpaka mashabiki wa Arsenyani na kuwaweka kwenye level ya misukuleView attachment 2943825View attachment 2943826View attachment 2943827View attachment 2943828View attachment 2943829View attachment 2943830View attachment 2943831View attachment 2943832