Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Sema jamaa ni bonge la mchezaji,ile kasi yake sio ya mchezo inabid akabiliane na mchezaji aina ya Saka kwel, maana saka akili mingi zaidNo, kiwango chake kilishuka baada ya injury, alivyorudi akawa siyo yule tena.
Akawa anapigwa benchi.
Siku hizi anaanzia benchi. Hata game ya juzi
Tutaacha nafasi ya mashabiki 20 tu,OFFICIAL
Klabu ya Arsenal imepokea uthibitisho kamili kutoka UEFA kuwa katika Mchezo wa hatua ya Robo fainali dhidi ya FC Bayern München Uwanja mzima watatakiwa kuingia mashabiki wa klabu Yao tu, mashabiki wa Bayern München hawataruhusiwa kuingia katika Uwanja huo wa Emirates kufuatia zuio la kuwasha mishawasho ya Moshi kwenye Mchezo dhidi ya FC Copenhagen na kuelekea kufungiwa kuingiza mashabiki katika michezo yote ya ugenini katika michezo ya UEFA Champions League .
Uwanja wa Arsenal utaingiza Mashabiki wapatao 60,000 ambao wote watakuwa wa Arsenal pekee.View attachment 2937152
Nipe matokeo yenu leo kakaPalmer amekaa chelsea miezi sita lakini ametengeneza legacy kubwa kuliko Havertz ambaye amekaa chelsea misimu kibao.
3,800-5,000Kisheria ilitakiwa Bayern awekewe siti za mashabiki wangapi?
Humu mpira wengi hawajui ,hata backline Yao kwasasa ni De Ligt na Dier,maana Upemaguire na Kim wanachoma sanaDavies kapoteza nafasi katika first IX kutokana na majeruhi na kushuka kiwango. Game nane za mwisho za Bayern, kaanza moja vs Mainz, na kacheza dk 18 tuuu.
Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,
Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,
Sijawahi ona kocha wa hivi
Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Kwa hiyo mnataka hamis77 aje na ID mpya tena next season?Mashabiki wa Arsenyau ombeni sana Coventry atutoe nusu fainali au kama tukifika fainali basi tusibebe kombe, lakini kama tukibahatika kubeba kombe la FA halafu msimu ukiisha Arsenyege mkatoka mikono mitupu bila ya kombe lolote sijui mtaudanganya nini ulimwengu kua msimu huu Arteta na Arsenyau yake wamepata achievement kubwa kuliko Ten Hag kwa kufika robo fainali Uefa pamoja na kuingia top4 kwenye EPL.
Masingeli nina uhakika leo umeenjoy sana kumuona ndugu yako Masebene akitupia kamba dhidi ya Liverpuuuhhh huku akipiga yale mambo yake adimu ya Spin360.
# Arsenal iliumbwa kwa udogo na imerudi mavumbini jina la Bwana lihimidiwe
R.I.P Arsenyo
Hajasema uongo lakini, goli tulilowafunga lilikatiliwa kidhuluma sana kwa kisingizio cha offside wakati haikua offside, pili tulinyimwa penalty ya wazi kabisa baada Gabriel Magalasa kucheza netball badala ya football kwa kumshika na mikono na kumuangusha Højlund ndani ya box wakati akielekea kufunga.Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,
Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,
Sijawahi ona kocha wa hivi
Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Kwa hiyo mnataka hamis77 aje na ID mpya tena next season?
Acheni roho mbaya. Sisi tunapambania UCL. Bayern mwaka huu ndiyo nina imani tunaweza kumbonda kuliko misimu yote tuliyokutana nao. Na hapo tayari tumeshawahi kumfunga Bayern, ni kwamba tu wana historia ya kutupiga nyingi nyingi.
Livakuku walikosea sana kuwaachia nyie muwapige huku semi final kunakukutana na Coventry City. Yaani fainali nje nje wazi kama ya mbuzi.
Zile ni issue serious kabisa ndiyo maana akabadili ID, wala siyo kwa sababu ya timu kufungwa 😂😂😂. Pia Hamisi hapendi kukurupuka. Atasubiri watu na mihemuko yao waongeeee weeee. Halafu ndiyo atakuja na majibu. Timu ikifungwa na watu wakimponda Arteta, Hamisi anakuambia kwa utulivu kabisa kwa nini Arteta ni master. Watu wakimponda Kai, Hamisi atakuambia kwa utulivu kabisa kwa nini Kai ni mwamba, siyo kama kina Masebene, Mason Mount kina Vegosti na Sabisa. Na mwisho wa siku mwamba huwa anaonekana yuko sahihi na alikuwa sahihi na alichosema.Masingeli ana roho nyepesi sana kama bua timu yake ikifungwa, Msimu ulioisha baada ya kugongwa dakika za mwisho na kutema bungo, alikuja kutuaga humu jukwaani kwa kisingizio cha kuibiwa simu hivyo hatakua na access tena ya kuingia JF, wahuni wakamuhoji hio access ya kuingia Jf na kuaga ameipata wapi wakati simu yake imeibiwa?
Akatudanganya kua eti ameazima simu ya mama ake mdogo
Kuna msela alijitolea kumnunulia Iphone ili tu Masingeli asikimbie Jukwaa lakini Masingeli alichomoa akimtuhumu huyo mtu hana nia njema na yeye
HENRY14 wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenyau wenye roho ya paka ambao hata timu ikufungwa bado utaoneka kwenye majukwaa yote humu ya Sports ukijibu ukijibu hoja tena kwa kujiamini kabisa, ila Masingeli na chawa wake ndio maana hua tunawaona kama mamluki humu, wanaonekana timu ikiwa inafanya vizuri tu wakiwachamba wazalendo wa hii timu kina computerarsenal , Will Jr ,dadamlamayao , verifaidi yuza na wengineo ila timu ikiboronga hua hawaonekani humu.
Poor Masingeli na chawa wakeView attachment 2938075
Zile ni issue serious kabisa ndiyo maana akabadili ID, wala siyo kwa sababu ya zkufhngwa. Pia Hamisi hapendi kukurupuka. Atasubiri watu na mihemuko yao waongeeee weeee. Halafu ndiyo atakuja na majibu. Timu ikifungwa na watu wakimponda Arteta, Hamisi anakuambia kwa utulivu kabisa kwa nini Arteta ni master. Watu wakimponda Kai, Hamisi atakuambia kwa utulivu kabisa kwa nini Kai ni mwamba, siyo kama kina Masebene, Mason Mount kina Vegosti na Sabisa. Na mwisho wa siku mwamba huwa anaonekana yuko sahihi na alikuwa sahihi na alichosema.
Hata Kai mlimkata kwny Penalt box refa akapeta....mstari inaonesha clear offside...tuliwabonda na tutakuja kuwabonda tena...bdo hamna kikosi cha kutuzuia kwa Sasa ..kipindi kile tunawafunga tulikuwa hatujazoeana sembuse Sasa King Kai kashakaa sawa....hesabuni maumivuHajasema uongo lakini, goli tulilowafunga lilikatiliwa kidhuluma sana kwa kisingizio cha offside wakati haikua offside, pili tulinyimwa penalty ya wazi kabisa baada Gabriel Magalasa kucheza netball badala ya football kwa kumshika na mikono na kumuangusha Højlund ndani ya box wakati akielekea kufunga.
Refa pamoja na wahuni wenzake wa VAR alitumia juhudi kubwa sana kututoa mchezoni na kweli walifanikiwa baada ya wachezaji wetu kupanic kwa dhulma za waziwazi zilizokua zinaendelea pale Emirates, bila ya ule uhuni mliotufanyia kwa kushirikiana na marefa ile mechi mlistahili kufa kwa goli zisizopungua 5.
Hii dhuluma yenu ya kuwahonga marefa pamoja na wale wahuni wa VAR lazima mtailipa kwa uchungu mkubwa sana pale kwenye dimba la Old Trafford. View attachment 2938057
Mara ya mwisho kutufunga kiungo alikuwa lokongaNyie tutachapa sana nacho wapendea Wenger orphans hata tuwe unga vipi nyie ni kati ya mboga yetu pendwa sana pale uingereza.
Ben White vile akimuona Rashford round hii mumpumzishe ben jamani rashidi atakuja kuua uyu bwana.View attachment 2938299
Suala la kutufunga safari hii msahau 🤠🤠..zile 3 mlizokula raundi ya kwanza zilezile tuna copy na ku pasteNyie tutachapa sana nacho wapendea Wenger orphans hata tuwe unga vipi nyie ni kati ya mboga yetu pendwa sana pale uingereza.
Ben White vile akimuona Rashford round hii mumpumzishe ben jamani rashidi atakuja kuua uyu bwana.View attachment 2938299