arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Au sio🤠🤠...wacha siku ifike tuone maana mnajifariji sana...wale jamaa zenu mtawakataa siku hyo mtaanza kututishia kina mAdrid na Man CityJamani wakati mwingine tuweke ushabiki pembeni tuongelee football katika uhalisia wake,
Saka atageuka beki na Alphonso atageuka winga upande husika.
Ukiweka ushabiki pembeni utajua pia kua Davies baada ya majeruhi kiwango kimeshuka na hua hachezi au anaanzia benchiJamani wakati mwingine tuweke ushabiki pembeni tuongelee football katika uhalisia wake,
Saka atageuka beki na Alphonso atageuka winga upande husika.
Kisheria ilitakiwa Bayern awekewe siti za mashabiki wangapi?OFFICIAL
Klabu ya Arsenal imepokea uthibitisho kamili kutoka UEFA kuwa katika Mchezo wa hatua ya Robo fainali dhidi ya FC Bayern München Uwanja mzima watatakiwa kuingia mashabiki wa klabu Yao tu, mashabiki wa Bayern München hawataruhusiwa kuingia katika Uwanja huo wa Emirates kufuatia zuio la kuwasha mishawasho ya Moshi kwenye Mchezo dhidi ya FC Copenhagen na kuelekea kufungiwa kuingiza mashabiki katika michezo yote ya ugenini katika michezo ya UEFA Champions League .
Uwanja wa Arsenal utaingiza Mashabiki wapatao 60,000 ambao wote watakuwa wa Arsenal pekee.View attachment 2937152
Kama kuna beki uchochoro ni upamecano yani uki impress anapotea Lazima achomeDefense ya Bayern ni hii:
Upamecano, Kim, Boey
Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.
I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.
Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Hii nimeipendaOFFICIAL
Klabu ya Arsenal imepokea uthibitisho kamili kutoka UEFA kuwa katika Mchezo wa hatua ya Robo fainali dhidi ya FC Bayern München Uwanja mzima watatakiwa kuingia mashabiki wa klabu Yao tu, mashabiki wa Bayern München hawataruhusiwa kuingia katika Uwanja huo wa Emirates kufuatia zuio la kuwasha mishawasho ya Moshi kwenye Mchezo dhidi ya FC Copenhagen na kuelekea kufungiwa kuingiza mashabiki katika michezo yote ya ugenini katika michezo ya UEFA Champions League .
Uwanja wa Arsenal utaingiza Mashabiki wapatao 60,000 ambao wote watakuwa wa Arsenal pekee.View attachment 2937152
Mimi naamini Kila mechi Ina technic zake, sishangai kuona white hatapanda kuattack na badala yake Saka atabaki kuwa winger au pia Alfonso nae asipande kutokana na threat ya Saka.Jamani wakati mwingine tuweke ushabiki pembeni tuongelee football katika uhalisia wake,
Saka atageuka beki na Alphonso atageuka winga upande husika.
Washkaji bado wanaishi na Bayern ya miaka mitano nyuma, wakidhani ndo ya sasa hivi.Ukiweka ushabiki pembeni utajua pia kua Davies baada ya majeruhi kiwango kimeshuka na hua hachezi au anaanzia benchi
Davies kapoteza nafasi katika first IX kutokana na majeruhi na kushuka kiwango. Game nane za mwisho za Bayern, kaanza moja vs Mainz, na kacheza dk 18 tuuu.Mimi naamini Kila mechi Ina technic zake, sishangai kuona white hatapanda kuattack na badala yake Saka atabaki kuwa winger au pia Alfonso nae asipande kutokana na threat ya Saka.
Naamini Arteta anajua nn afanye kuhusu mechi hiyo.
Palmer amekaa chelsea miezi sita lakini ametengeneza legacy kubwa kuliko Havertz ambaye amekaa chelsea misimu kibao.
Una akili za kijinga sana. Yaani United ana EPL 20 na UEFA za kutosha ajifananishe na katimu hakajawahi kuchukua kombe la ulaya?@CastrTimu ikijihisi imeperform.
Inakimbilia kujifananisha na Arsenal.
Kumbuka kuna City ambayo msimu uliopita tu imechukua treble
Kuna Liver.
Timu ikihisi imepata mafanikio inakimbilia kujifananisha na Arsenal
Ni wewe ndiye upo humu na mascreenshot ya kugombea makombe ya mbuzi punda weweUna akili za kijinga sana. Yaani United ana EPL 20 na UEFA za kutosha ajifananishe na katimu hakajawahi kuchukua kombe la ulaya?@Castr
Nimejibu comment ya jamaa...sijajua kama Alphonso David ni majeruhi au vp...ila binafsi naona akiwepo yy kitakuwa na battle nzuri na Saka ule upande