Unahangaika sana...wacha siku ifike tuwafumue halafu muanze kuja na slogan zenu kwmba Arsenal hamtachukua Champions league 🤠🤠🤠....maana naona mashabiki wa Manunu na Chelkenge mmeunda coalition moja matata sana...yaani pipa na mfuniko vimeungana Ili kutupigia kelele