Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bayern anacheza muda huu ,hamuiangalii halafu mtu anakuja kutupigia kelele humu


Defence Yao ni De Ligt na Dier
 
Hivi ni astonvilla au stock city aliyewahi kumpiga liverpool 7
Kuna muda nasahau
 
Unahangaika sana...wacha siku ifike tuwafumue halafu muanze kuja na slogan zenu kwmba Arsenal hamtachukua Champions league 🤠🤠🤠....maana naona mashabiki wa Manunu na Chelkenge mmeunda coalition moja matata sana...yaani pipa na mfuniko vimeungana Ili kutupigia kelele
NAwapa taarifa tu, si kwa ubaya. Bayern wamecheza leo, wamewatumia salamu.
 
Bayern kacheza na timu inashika mkia kashinda 5 karuhusu kufungwa goli 2.

Na timu inayoshika mkia.

Arsenal kacheza na timu inashika mkia kaifunga 6 bila kuruhusu goli.

Angalia vichwa vya kuku vinakuja kuandika nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…