IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,747
- 7,110
BayernNdo mana nikasema katika timu zilizobaki atletico na inter ndo timu zinazopaki Basi na ndo zinaweza kumsumbua arteta
Vipi unateseka ukiwa wapi Mkuu?Sawa Mkuu
Wewe unaujua mpira sikubishii
Ila UEFA sahauni
Nipo pale
Vipi unateseka ukiwa wapi Mkuu?
Alafu ile zawadi yako ya Jersey bado inakusubiri 🤗
😀😀😀😀Naomba kuuliza Arsenal mara ya mwisho kubeba uefa ilikuwa mwaka gani wakuu
Haters wanazidi kuwa msaada kwetu, wametuwekea standard ambayo ata timu zao haijawai fika hizo standard
Alikuwa #artetaout ila saivi si unaona ameanza kumuelewa dogo? Kanipita hata mimi katika kumuamini Arteta sasa lUyo muhuni alitukimbia kipindi tupo matopeni, legend aliesimama nasi ni Ian Wright tu
It's either Arsenal or City then.Kuku mwendo wameumaliza
Wao baada wahangaike na kombe lao la futuhi Alhamisi anakuja kuhangaika na sisi wazee wa 5+🤠🤠...mahangaiko katika ubora wakeGoogle.. Ishu ndogo unakuja lia lia hapa
Mkuu nimefuruahi sana kuona post yako humu. Nilianza kupata wasiwasi juu ya hali yako.False hopers sina neno, hongera kwa kufika 1/4 after 14 years.
Sisi tunasubiri na tunajua mnatoka empty hands ni suala la muda tu. Tamba wewe kwa sasa.
Mara hii tumekuwa Kondoo tena?Jezi nipe tu Mkuu
Mi sina baya navaa
Ila jua tu arsenal kondoo
Madrid UEFA
Liver EPL
Hiyo 'liver epl' umeaindika kama unanong'ona. Vipi?Jezi nipe tu Mkuu
Mi sina baya navaa
Ila jua tu arsenal kondoo
Madrid UEFA
Liver EPL
Tupewe BarcaArsenal fainal tunacheza
Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana
Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,
Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,
For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid
Sawa Mungu,,,,Sawa Mkuu
Wewe unaujua mpira sikubishii
Ila UEFA sahauni
Nipo pale
Jana wakituchezea sisi faulo refa anakausha ila sisi tukivigusa tu refa anasema fauloArsenal fainal tunacheza
Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana
Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,
Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,
For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid
Sio mimi mbonaWe jamaa jana ulileta matapishi sana humu ndani. Yani kama tungekuwa wote sehemu moja, ulikuwa unachezea mbata za maana!!!!!!!
Hzi ni dalili za kuwa mchawi🤠🤠..angalia sana usizeeke na kuwa mzee wa busaraNawakumbusha tu, msimu huu mnatoka kapa. Wazee wa matuamaini hewa.