Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Trossard aingie sub,ndio anafanya vizuriTrossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.
Oya vp umesikia huko mudryk ametupia goli la kuchukulia mkopo bank, toa maoni yako?Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugi
🤣🤣🤣...mko nafasi ya ngapi mkuu...maana siku hzi hata kuwafatilia napata tabu..mmekuwa kama Nottingham Forest tu...Oya vp umesikia huko mudryk ametupia goli la kuchukulia mkopo bank, toa maoni yako?
Oya vp umesikia huko mudryk ametupia goli la kuchukulia mkopo bank, toa maoni yako?
Tatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugi
Dkk 90 zitasemaKwa line up hii aliyoipanga Arteta ni ngumu kutoboa.
Ulitaka uingie wewe??Kwa line up hii aliyoipanga Arteta ni ngumu kutoboa.
Ulitaka acheze nani mkuu na nani asiwepo kwny hyo line up hapo...hebu type mawazo yakoKwa line up hii aliyoipanga Arteta ni ngumu kutoboa.
Hivi kabisa unakaa chini unaanza kumfananisha Gordon na Martinelli na Trossard🤣🤣...kwli maajabu hayaishi hapa duniani...Gordon hyu hyu tunayemuona akikimbiakimbia kule mbeleTatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.
Position anayocheza gordon pale Newcastle iangalie then useme martinelli/ trossard kamzidi nini assist / goals ? pamoja na team kuwa mbovu.
Najua kwasasa sina nguvu za kusema chochote maana upo katika maximum peak of false hopes, lazima niwe mpole tu kwa muda. Nitasema nini na unaongoza ligi kama season iliyopita tofauti tu last ulikua una points 8 saivi ni difference ya goals😆
Hyo timu hata ikae Miaka 5 mlicho achieve mwaka jana ku qualify UEFA ndo mwanzo na mwsho....hamtakaa mpate hyo nafasi tena mpk miaka 20 ipite...yaani in short mpk ww uwe Babu ndo hao jamaa utawana UEFA tena...pale hamna timu Bali ni wafanya vurugu...tofauti ya Nyukesto na Chelkenge ni ndogo sana ndo maana hata walivyokutana hakikueleweka kinachezwa nnTatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.
Position anayocheza gordon pale Newcastle iangalie then useme martinelli/ trossard kamzidi nini assist / goals ? pamoja na team kuwa mbovu.
Najua kwasasa sina nguvu za kusema chochote maana upo katika maximum peak of false hopes, lazima niwe mpole tu kwa muda. Nitasema nini na unaongoza ligi kama season iliyopita tofauti tu last ulikua una points 8 saivi ni difference ya goals😆
Hahahaha friends of Porto leo tutawapa mkono wa kwaheriSio kwa ubaya, naomba kuuliza mechi yetu frends of porto na nyie kondoo ni saa ngap vile?
Mbavu ya kushoto alipaswa kuanza Jesus.Ulitaka acheze nani mkuu na nani asiwepo kwny hyo line up hapo...hebu type mawazo yako