Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,000
- 10,398
Ule uzalendo wa kulia kwa kufeli deal la kuja arsenal, ndio itafanya tumchukue kwa mkopo awe backup ya martinelAtamreplace nani sasa?
Naangalia mazoezi ya Pepe hapa jamaa anaruka hewani kama nyani. Yani porto wakipata kona mmeisha
Watupe nkunku na palmer, Mudryk ni snitchChelsea are ready to sell 15 players this summer as they admit defeat in their disastrous transfer policy.
Tunaenda kumchukua Mudryk kwa mkopo
Mbavu ya kushoto ataanza G Jesus, Trossard subWakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Nkuku injury prone aende wapi?Watupe nkunku na palmer, Mudryk ni snitch
I second youWakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Trossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.Wakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Mnaendeleaje na chezaji la Dunia Gordon🤠🤠...kelele nyiingii halafu unashamgilia vitukoFalse hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi 😂.
Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza .
Gordon ana ubaya gani? wachezaji wangapi pale Arsenal wamemzidi goals? Sijawahi kuona ubaya wa gordon so far.Mnaendeleaje na chezaji la Dunia Gordon🤠🤠...kelele nyiingii halafu unashamgilia vituko
Kocha ndo atajua apange vipiTrossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.
Dah ila kweli yule jamaa second half bora aanzie sub, Jesus aanze first halfTrossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.
False hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi.
Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza .
😆😆😆 False hopers sasa hivi wana moto mpaka cha kuongea hatuna ila nilizimiss false hopes za humu ndani hatariBroo umekuja muda muwafaka kabisa, misiba ndio inaanza leo, sisi kama majirani tayari tumeshaandaa mikeka kwa ajili ya kuweka matanga humu
Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugiGordon ana ubaya gani? wachezaji wangapi pale Arsenal wamemzidi goals? Sijawahi kuona ubaya wa gordon so far.
Ndo maana nikasema kwa sasa sina cha kuongea nitakueleza nini false hoper muda huu upo katika kilele cha false hope .
Hongera kwa kuchukua EPL NA UEFA 😆. Magpies tupo mtaa wa 10 without any hope , ila ni bora zaidi kutokuwa na hope kuliko kuwa na false hopes