Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Martinelli kumkosa ni pengo kubwa sana,athari za kumkosa tuliziona juzi dhidi ya brentford.Ninachokiona hapa Jesus acheze nafasi ya Marti ya winger kwa sababu ya kasi yake anaweza tusaidia then Trossad acheze false no 9.
 
Uo u mwisho gani unauzungumzia kwa sasa si ndo huu wa msimu huu watu wanakula 5 -6 au ?
 
We unavyojua Leeds anacheza ligi gani?
nimechanganya ndugu zangu nilikua namaanisha hawa vijana wa Luton Town, unajua Hivi vitimu vinavyopanda daraja mara moja kwa kila baada ya miaka 10 midomo yetu inakua bado haijazoea kuvitaja.
 
Kwanza waambie kuwa BENFICA na PORTO kwa pamoja wanajua ladha ya kombe la UCL ila yeye ni anaingia kama underdog tu.
 
Kwanza waambie kuwa BENFICA na PORTO kwa pamoja wanajua ladha ya kombe la UCL ila yeye ni anaingia kama underdog tu.
Fc Porto ana Uefa 2 ana uzoefu mkubwa kwenye Uefa na wanazijua chocho zote za CL, halafu hawa kima hawana hata Conference League na tayari washagongwa goli moja lakini wana mdomo utafikiri wana Uefa 7+
Ukiwasikiliza kina Masingeli wanakwambia wao wanamtaka Madrid unabaki mdomo wazi tu.
Leo humu baada ya mechi yao na Porto kuisha kuna watu watajipiga Ban wenyewe humu halafu watasingizia wameibiwa simu hivyo wanakosa access ya kuingia JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…