Ww weka takwimu zte ila ndo hvyo sasahv ukifungua EPL table standing unakutana na tembo yupo juu pale
Hamia City kakaMimi kama shabiki sina imani na hii timu yangu kabisaaaaaa.
Turudiane game ya FA au vpWao wanaamini mechi zte za Nyumbani kwao wanashinda🤠🤠...halafu sisi za Nyumbani kwetu wanatupangia zipo tutadundwa...Hawa waungwana Hawa🤠🤠...natamani kwny hzi zilizobaki za kwetu na wao wangekuepo tucheze nao tena tuwatwange maana Wana mdomomdomo sana hawa
Mimi kama shabiki sina imani na hii timu yangu kabisaaaaaa.
Fresh tu...maana Press conference ya Klopp kabla ya mechi ya Ligi pale Emirates alisema kabisa kwny FA cup tumeshinda ila Arsenal alitu dominate...Sasa kama mchawi wenu alijuwa kwmba mlishinda kienyeji na mechi ya pili akapigwa Kabali ya mbao kashindwa kurusha hata ngumi moja ndo uje ww shabiki maandazi hmu ndani kutuvimbia🤠🤠...nyny ni wepesi sana...mkikabwa msipewe nafasi ya Counter huwa mnarukaruka tu uwanjani maana hamna mbinu mbadalaTurudiane game ya FA au vp
Kesho 3+...Pepe ajiandae... Brentford tulikuwa tunafanya mazoeziKesho hio dhidi Fc Porto ndio wataelewa unaposema huna imani na timu yako unamaanisha nini, hawa wote wanaokubeza leo kesho watakuunga mkono tu wala usibishane nao leo humu
Hamia City kaka
Kesho 3+...Pepe ajiandae... Brentford tulikuwa tunafanya mazoezi
Mashabiki lialia ndio hawa kina verifaidi yuzaKabisa ahamie hata Liver pia sio mbaya...huku atuachie sisi mashabiki lialia
Msimu uliopita ilikua mechi dhidi ya Brentford tunapigwa au tunasuluhu kisha City anampiga liva.
Halafu tunaanza hesabu za City akipigwa na fulani na liva na fulani tunakua wa kwanza.
Sasa ishu yaja. Tumepona ule ugonjwa? Nipo dilemma, ile mechi nilisema tunahitaji 7 goals tukashinda 5. Zilikua dalili nzuri actually.
Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikanaSio kama nakutisha hapana bali nakukumbusha tu huko Ureno kuna timu inafanana kila kitu na Arsenyo inaitwa Benfica, wiki iliyoisha hio Arsenyo ya Ureno imegongwa goli 5 - 0 na Fc porto, wenyewe Arsenyau hua mnaita kono la nyani
Ingawa Mufti ameshatangaza kua kesho waislamu tunaanza mfungo wa Ramadhani, ila kwa jinsi ninavyowajua mashabiki wa Arsenyau matusi yatakua mengi humu bila hata kuheshimu kua watu wapo kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani
Eti kaiweka nyumbu katikati ili tusijue kua kaiwekaSio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Leeds.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.
Porto siku anampiga mtu 5 kesho sisi tulimpiga mtu ngapi?Kesho tunataka tuone kule kujiangushaangusha kwao kutawafukisha wapi...5 walizowapiga wenzao sisi kwetu limekuwa jambo la kawaida sana...kesho karibuni Imarate mje kuona soka safi na kono la nyani likipatikana
Eti kaiweka nyumbu katikati ili tusijue kua kaiweka
Anaongelea habari ya Tano kama vile ni suala geni wakati sisi hayo ndo mambo yetu...Porto siku anampiga mtu 5 kesho sisi tulimpiga mtu ngapi?
Flano kachanganyikiwa na upweke umemzidia 😂😂Halafu kuonesha kama ana kijiba cha roho akawaweka na Leeds kabisa...watawatoa Championship waje kutoa draw na sisi sio 🤠🤠
We unavyojua Leeds anacheza ligi gani?Sio 4 kwenye mechi 10 mna game 7 zote ngumu City, Spurs, Utd, Chelsea Villa, Brighton na Leeds.
Kwenye hizi mechi 7 mna kila dalili ya kupoteza mechi 3 na draw 1.
Arsenyo kuhusu makombe bado mtasubiri sana mpaka mfike phase 7.