Kipindi cha nyuma kulipokuwa na debate kali kwanini Arteta amemuacha Ramsdale na kumuamini Raya. Thierry Henry alisema alinukuliwa akisema Ramsdale ni kipa wa kukupa Top 4 lakini Raya anaweza kukupa ubingwa, na Arteta amegundua hilo na anaheshimu maamuzi yake.. Nilishindwa kumuelewa lakini taratibu naanza kumuelewa.