Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tunawa motivate tu kwa kuwapumulia mgongoni kwny mkuu🤠🤠...lile kombe la jana ndo la mwanzo na mwsho kwenu msimu huu...hayo mengine myasahau...bado Van Dijk ateguke...jana Gravenberch tumemuunga kwny list
Hivi nyie kenge akiumia Declan na Saliba si mtatafutana humu? sasa subirini wavunjwe
 
Nunez na Salah wanarudi uwanjani this coming weekend.

Kwatikati ya mwezi wa March kuna wengine kama 4 wanarudi uwanjani.
So, shida ipo palepale.
Nyunyez mzee wa nafasi 50 anapata 2🤠🤠🤠....Salah ameshapigwa na degedege akirudi kutumia kupo palepale....mm naomba kale ka Jota kasirudi...kale ndo kiherehere....Hawa wengine hawasumbui
 
Nyunyez mzee wa nafasi 50 anapata 2🤠🤠🤠....Salah ameshapigwa na degedege akirudi kutumia kupo palepale....mm naomba kale ka Jota kasirudi...kale ndo kiherehere....Hawa wengine hawasumbui
Nunez ndiyo Andy Carrol wao wa sasa, au Adebayor. Angekuwa Arsenal angekuwa anashindana na Havertz kukosa magoli
 
Nunez ndiyo Andy Carrol wao wa sasa, au Adebayor. Angekuwa Arsenal angekuwa anashindana na Havertz kukosa magoli
Halafu tunawakumbusha tu majirani mechi ijayo...kwny benchi tutakuwa na braza Thomas Partey...Gabriel Jesus...Fabio Vieira na Zinchenko wakisubiri kuingia dakika ya 60 huko kumalizia kilichoanzishwa tangu kipindi cha kwanza...tabu Iko palepale🤠🤠🤠
 
GOOD NEWS

#Arsenal are expected to have BOTH Thomas Partey
and Oleksandr Zinchenko
back fit for our next Premier League game with Sheffield United a week today


Haya matokeo ya hapa chini
bila ya hao wahuni hapo juu
 
Hawataleta timu uwanjani.

Uzuri kwao ni Partey si unamjua zake? Kesho kutwa tu utasikia bado hayuko tayari. Naona tukimaliza msimu bila yeye.
 
1. Watkins
2. Toney or
3. Osimhen to Arsenal next season?
I would go for Toney, he is a perfect match to our playing style
Watkins. Ila bila 100 na zaidi simuoni akija.

Tusihangaike na striker wa gharama sana. Tutafute kijana mpambanaji, mwenye speed na nguvu aina ya Alexis Sanchez na Luis Suarez kutoka South America huko. Tumpate mapema ili aanza pre-season na ikibidi tusagure ulaya tupate aliyeanza timu za ulaya tayari ili mambo ya permit yasisumbue.

Halafu tutafute winga hatari mithili ya Saka, na kiungo mithili ya Partey.

Kama Partey atatuaga June, naona Jorginho atabaki kwa mwaka mmoja. Atasaidia kumuingiza mdogo ndogo kiungo mpya kwenye mfumo.
 
Kuna kila dalili uyo na Flano ni mtu mmoja
🤣🤣🤣Binafsi sijawa kuishabikia Arsenyo hata kiuongo uongo tokea kuumbwa kwa dunia, fatilia comments za Labyrinth 84 miaka miwili nyuma utaona jamaa alikua ni arsenyau kindakindaki.
Kingine huyu jamaa Labyrinth 84 anajua sana kuchambua mpira na hua anatembea sana na facts ndio maana mpaka Masingeli kampiga marufuku kumquote maana kwa hoja na facts Masingeli hamuwezi, tofauti na mimi ambae kazi yangu kubwa hua ni kuleta porojo tu za kuwabeza na kuwakera Kima za humu😂😂😂
 

Attachments

  • tapatalk_-1906839962_485x632.jpeg
    73.6 KB · Views: 9
Nyumbu hawezi ona hi😀😂
View attachment 2916266
🤣🤣🤣 GD haziwezi kuwasaidia kuchukua kombe Kima nyie, miaka yote hua mnahangaika na mambo madogo madogo yasiyoweza kuwasaidia kupata kombe lolote la maana, mwaka juzi mlikua mnatupigia kelele humu kuhusu clean sheets, halafu mwisho wa msimu Man United asie na clean sheet na Arsenyau mwenye clean shit nyingi wote tukaenda kucheza Europa.
Msimu ulioisha mkatupigia tena kelele humu kuhusu GD lakini baada ya msimu kumalizika wote tukajikuta tupo top4 tena Man Utd aliekua na -GD akapata walau kombe huku arsenyani mwenye GD35+ akimaliza msimu mikono mitupu😁😁😁
Msimu huu pia mmeanza na ngonjera hizohizo za GD, tukiwaita Arsenyani mnaona tunawaonea wakati akili zenu zinaonyesha bado mpo kwenye stage ya kwanza kabisa ya evolution.
Kuna muhenga mmoja aliwahi kusema kama binadamu wa kwanza alikua nyani basi binaadamu huyo alikua ni shabiki wa Arsenyani maana mpaka leo hii bado mna mentality za binaadamu wa kwanza😂😂😂
 

Attachments

  • 1697910285213.jpg
    268.1 KB · Views: 11
Angekuwa na hzo sifa hyo mbabaishaji unayejaribu kumpamba asingeangukia kushangilia kikundi cha wafanya Fujo aisee...ni muhuni tu asiyeelewa nn maana ya bolu....alikuja kuanza kutuletea vi data uchwara vyake vya kumfananisha Saka na Gordon sijui...mara Almiron na Martinelli...mara Bruno na viungo wetu wakatili....nikaona kwli hyu jamaa ni empty set
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…