Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumshukuru sana Fabregas kwa kutokuchoka kumtengenezea jamaa nafasi 😃😄
Ni kweli, useme yeye Mwenyewe Adebayo alikuwa anazingua 😜

Miaka yote Arsenal imekuwa wazuri kutengeneza nafasi za Mabao ila Forward line zetu huwa haziwi serious

Ila now Arteta ametafuta Mwarobaini, unafungwa na Mawinga hadi Mabeki 🤗
 
Ni kweli, useme yeye Mwenyewe Adebayo alikuwa anazingua 😜

Miaka yote Arsenal imekuwa wazuri kutengeneza nafasi za Mabao ila Forward line zetu huwa haziwi serious

Ila now Arteta ametafuta Mwarobaini, unafungwa na Mawinga hadi Mabeki 🤗
Beki asiyefunga atamzingua kipa kwenye corner kicks kama Ben White 😁. Porto walimshtukia mapema wakamdhibiti haswa.

Kwa kweli uchezaji wetu unaruhusu wafungaji tofauti tofauti. Sasa ni kila mchezaji aongeze mwenyewe muda mazoezini kufanyia kazi mashuti na umaliziaji wake. Tukiwa serious zaidi kwenye finishing watakufa vibaya wengi sana.
 
A week before game na Sheffield United. Vijana warudishwe Dubai kama vipi.
 
Sisi tunawa motivate tu kwa kuwapumulia mgongoni kwny mkuu🤠🤠...lile kombe la jana ndo la mwanzo na mwsho kwenu msimu huu...hayo mengine myasahau...bado Van Dijk ateguke...jana Gravenberch tumemuunga kwny list
Hawa nao wanataka epl
Arsenali bhana
 
Hivi Rice na hizi corners na freekicks, atakuwa na Assists ngapi mpaka sasa? Bado na open play. Je hataweza kwenda sambamba na akina Bruno, Enzo, Mac Allister na KDB ukifika mwezi wa 5?
 
Sisi tunawa motivate tu kwa kuwapumulia mgongoni kwny mkuu🤠🤠...lile kombe la jana ndo la mwanzo na mwsho kwenu msimu huu...hayo mengine myasahau...bado Van Dijk ateguke...jana Gravenberch tumemuunga kwny list

Nunez na Salah wanarudi uwanjani this coming weekend.

Kwatikati ya mwezi wa March kuna wengine kama 4 wanarudi uwanjani.
So, shida ipo palepale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…