Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kinachonoudhi hapa ni liverpool nimeshuhudia wakibeba mara 2, manyumbu nimewashuhudia mara mbili, chelkenge nao na mancity makombe yote yao ni ya kizazi hiki hiki. Kwa hiyo hamu ya kuona arsenali inanyanyua hii kitu kabla ya kupata wajukuu ni kubwa.
Asenyo kubeba Uefa labda baada ya vita kuu ya 3 ya dunia.
Kwanza leo Newcastle tunajambo letu hapohapo maghetoni kwenu, kina Gordon, Joelinton, Almiron na Guimaraes wana hasira sana na nyinyi baada kuwagongo goli moja nyumbani kwao halafu mkasingizia kua refa amewabeba.
Arsenyau wanacheza leo halafu jukwaa lao limepoa kama vile wafiwa wapo kwenye maombolezo ya mpendwa wao.
Ukiona Arsenyo inacheza halafu kina Masingeli na chawa zake mkorea na arsenal2004 wamelikimbia jukwaa ujue tayari wameshanusa harafu ya kipigo cha mbwa koko hivyo usijisumbue kwenda kibanda umiza bora uchungulie tu matokea kwenye live score



 
Nikimbie wakati nilikuwa bize kuangalia namna Baba Ubaya anavyocheza pira makande🤣🤣🤣...Sasa pigeni kambi hmu leo saa Tano usiku tuna jambo letu
 
Newcastle wakichezana sisi hua wanapaki basi na kucheza faulo za hovyo.

Ni kama Porto ya Uingereza.

Nikiangalia kikosi naona Jorginho yupo nafikiri ni attempt ya Arteta kuona ikiwa Jorginho ataweza kuona runs zote ambazo Odegaard hakuzioma siku ile.

Ikiwa hiki kikosi kitatoa majibu chanya naamini ndicho tutakiona tena na Porto.
Ila a fact kwamba anafanya majaribio hii inamaanisha focus haipo kwenye ligi ipo kwenye CL.
 
Voda wana vifurushi bei ila wana network slow vibaya mno.

Na nina 5G
 
Game ya leo WATAPIGWA TU ata refa awe isak,

3+
 
Nikimbie wakati nilikuwa bize kuangalia namna Baba Ubaya anavyocheza pira makande
...Sasa pigeni kambi hmu leo saa Tano usiku tuna jambo letu
Ila nilichogundua Masingeli ni plastic fan wa Arsenyau, anaonekana humu timu inapofanya vizuri tu, yaani jamaa ni kama vile anawadangia

Akiona pochi limejaa hakauki humu ila akianza kusikia vi coins vinagongana mfukoni anakula zake kona anashinda kwenye jukwaa la mapishi au jukwaa la urembo.
 
Mpo vizuri watani zetu
 
wenzio wameshaanza kumlalamikia refa kabla hata ya game kuanza, Eddie Howe amesema leo Arsenyo akipata hata on target moja anajiuzulu ukocha, mechi ya leo ninachokiona Arsenyani anaenda kuongeza idadi ya majeruhi.
Ata wakitaka Howe ashike filimbi
Isak na Bruno washike vibendera

Wanakufa kuanzia chuma 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…