hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,379
- 26,923
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sanaHuo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..
Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza
Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,
Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake
Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0
Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah
Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,
Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria
Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe to toe