Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana

Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza

Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,

Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake


Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0

Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah

Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,

Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria


Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe to toe
 
Arsenal fans
Midfield ipi unatamani kuiona kesho vs Porto

A- Vieira-Rice-Ødegaard
B-Rice-Jorginho-Ødegaard
C-Rice-Partey-Ødrgaard
D-Trossard-Rice-Ødegaard
E-Kai-Rice-Ødegaard
 

E....hawa wengine wasubiri
 
Jürgen Klopp anasema alishangazwa na Arsenal kumtoa kwa mkopo Albert Sambi Lokonga:

“[Albert Sambi] Lokonga unapomwona akicheza na unafikiri, oh - Ni mchezaji wa Arsenal na walimtoa kwa mkopo? Inavutia.”

[kupitia @HaytersTV].
 
Huyo akili zake anazijua mwenyewe,anaweza kumuumiza saka au huyo aliyemtaja kwa lengo la kuiharibu timu.

Asenali ya sasa kuna wachezaji wakipata majeraha ya muda mrefu shughuli ya kupambania walau kombe lolote inakufa rasmi au asenali inakikosi kipana?
 
Baba ubaya ameamua mpira awaachie wenyewe. Yeye point 3 tu azipate.
 
It takes too long to unlock Fabio's potential
Jamaa silaha kali sana kwenye counter. Tupipwe kona, Raya adake amrushie Vieira huku Martinelli au Saka wametoka ndukiii. Mpinzani ahesabu maumivu. Assists zake kwa Martinelli game ya Villa last season na Jesus game ya Manyumbu this season ni ishara kuwa jamaa ana vision kali sana.
 
Apate uzoefu na confidence. EPL siyo lelemama.
 
Wakati anachukuliwa kuja Arsenal Arteta aliambiwa hapa unamnunua Vieira na AM ndani yake.

Alishindwa kustep up game na man u akashindwa kabisa kucover mid. Nafikiri strength yake ingekua inakuzwa angecheza na Partey au Rice
 
He is very intelligent on top of that
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…