Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30

Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?
Katika hio miaka 20 yenu ya kuwasindikiza mabingwa, Liverpool ameshinda haya makombe makubwa yafuatayo:

-Uefa 2 trophies
2004-2005/2018-2019

-Uefa Super Cup 2
2005-2006/2019-2020

-International champions cup 1
2014-2015

-World Club Cup 1
2019-2020

Ukiachana mauchafu ya FA, EFL na Community Shield yasiyo na idadi waliyoyajaza kwenye kabati lao.

Arsenyau mnapenda sana kufanya battle na kujilinganisha na timu kubwa kama Liverpool, Man Utd, Chelsea na Mancity wakati nyinyi level zenu ni kina Tottenham, Brighton, Fulham, Aston Villa maana hata Westham amewazidi ana kombe la ulaya.
Arsenyo nyie mafanikio yenu ni kwenye Sexy tu, mko vizuri kwenye kucheza pira la unenguaji tokea enzi za mzee Wenger lakini linapokuja suala la mafanikio ya makombe jua kuna wanaume wa hizo kazi.
 
Sisi Tumepata mwaka 2019/2020
Nyie lenu liko wapi?😂
Kwhyo kumbe tyri mnafukuzia mwaka wa 5 kuendelea kutoka Kapa halafu unatufanyia vurugu hmu...kwanza leo Brentford tuna jambo letu na nyny mda sio mrefu🤠🤠...mtamueleza Wissa vzuri mliwafungaje mechi ya kwanza
 
Katika hio miaka 20 yenu ya kuwasindikiza mabingwa, Liverpool ameshinda haya makombe makubwa yafuatayo:

-Uefa 2 trophies
2004-2005/2018-2019

-Uefa Super Cup 2
2005-2006/2019-2020

-International champions cup 1
2014-2015

-World Club Cup 1
2019-2020

Ukiachana mauchafu ya FA, EFL na Community Shield yasiyo na idadi waliyoyajaza kwenye kabati lao.

Arsenyau mnapenda sana kufanya battle na kujilinganisha na timu kubwa kama Liverpool, Man Utd, Chelsea na Mancity wakati nyinyi level zenu ni kina Tottenham, Brighton, Fulham, Aston Villa maana hata Westham amewazidi ana kombe la ulaya.
Arsenyo nyie mafanikio yenu ni kwenye Sexy tu, mko vizuri kwenye kucheza pira la unenguaji tokea enzi za mzee Wenger lakini linapokuja suala la mafanikio ya makombe jua kuna wanaume wa hizo kazi.
Ukubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya🤠🤠🤠
 
Ukubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya🤠🤠🤠
Mashabiki wa Arsenal wanacheki gemu wakiwa na soda mkononi...maana unajua burudani unapata na goli za kutosha unazipata....Sasa Manunu wao wakienda Banda umiza wanaenda na nguo mbili...jezi ndani halafu shati kwa juu maana mda wwte mambo yanaharibika
 
Ukubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya
sawa lakini sisi juzi kati tu hapo tumetoka kunyanyua kombe la Ulaya, hata shombo la kombe bado halijakata kwenye mikono yetu.
Nyinyi Arsenyau mna kombe gani la Ulaya tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu?
1006108802.jpg
 
Mashabiki wa Arsenal wanacheki gemu wakiwa na soda mkononi...maana unajua burudani unapata na goli za kutosha unazipata....Sasa Manunu wao wakienda Banda umiza wanaenda na nguo mbili...jezi ndani halafu shati kwa juu maana mda wwte mambo yanaharibika
Burudani bila ya makombe haina faida ndugu yangu, msimu uliosha mliburudika siku 258 mpo kwenye top of the table, zile siku 30 zilizobaki za kumalizika ligi furaha yote ilipotea, humu yakawa yanaendelea matusi tu mpaka wengine wakaamua kujipiga Ban.
Furaha kubwa ya maana ni ile furaha ya kunyanyua kombe, furaha ya Sexy football hua inasha mapema sana mara tu baada ya mechi kumalizika.
Hii hapa furaha ya mashabiki wenzio wa Arsenyo baada ligi kuisha huku Arsenyani wakitoka mikono mitupu
Screenshot_20230422_105931.jpg
Screenshot_20230422_105508.jpg
Screenshot_20230422-122857.jpg
 
Tulishasema ligi tutaianza January, Sasa hivi ni mwendo wa spana tu Hadi may

Unyumbuni nitawafundisha soka kwa kejeli, kashfu na mauzi. Maana wamekua wajinga wa muda mrefu sasa

Kenge nawaachia wengine wadili nao
Wana hasira sana hao.tutembee kwa makundi usalama mdogo
 
Kwhyo kumbe tyri mnafukuzia mwaka wa 5 kuendelea kutoka Kapa halafu unatufanyia vurugu hmu...kwanza leo Brentford tuna jambo letu na nyny mda sio mrefu🤠🤠...mtamueleza Wissa vzuri mliwafungaje mechi ya kwanza
Mara hii umehamia Brentford?
Mtatapatapa sana mwaka huu,, andaeni vitambaa vya kufutia machozi.
 
Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30

Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?
30 tushaifuta baada ya kubeba kombe juzi kati
Hujui kama Liver wamebeba EPL mwaka 2020?
Nyie je,
Mnachanja mbuga tangu 2004,Leo ni 2024 mikono mitupu
Au wewe unatumia mfumo upi kusoma comments?
 
Back
Top Bottom