Katika hio miaka 20 yenu ya kuwasindikiza mabingwa, Liverpool ameshinda haya makombe makubwa yafuatayo:Unapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30
Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?


Arsenyau mnapenda sana kufanya battle na kujilinganisha na timu kubwa kama Liverpool, Man Utd, Chelsea na Mancity wakati nyinyi level zenu ni kina Tottenham, Brighton, Fulham, Aston Villa maana hata Westham amewazidi ana kombe la ulaya. Kwhyo kumbe tyri mnafukuzia mwaka wa 5 kuendelea kutoka Kapa halafu unatufanyia vurugu hmu...kwanza leo Brentford tuna jambo letu na nyny mda sio mrefu🤠🤠...mtamueleza Wissa vzuri mliwafungaje mechi ya kwanzaSisi Tumepata mwaka 2019/2020
Nyie lenu liko wapi?😂
Ukubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya🤠🤠🤠Katika hio miaka 20 yenu ya kuwasindikiza mabingwa, Liverpool ameshinda haya makombe makubwa yafuatayo:
-Uefa 2 trophies
2004-2005/2018-2019
-Uefa Super Cup 2
2005-2006/2019-2020
-International champions cup 1
2014-2015
-World Club Cup 1
2019-2020
Ukiachana mauchafu ya FA, EFL na Community Shield yasiyo na idadi waliyoyajaza kwenye kabati lao.
Arsenyau mnapenda sana kufanya battle na kujilinganisha na timu kubwa kama Liverpool, Man Utd, Chelsea na Mancity wakati nyinyi level zenu ni kina Tottenham, Brighton, Fulham, Aston Villa maana hata Westham amewazidi ana kombe la ulaya.
Arsenyo nyie mafanikio yenu ni kwenye Sexy tu, mko vizuri kwenye kucheza pira la unenguaji tokea enzi za mzee Wenger lakini linapokuja suala la mafanikio ya makombe jua kuna wanaume wa hizo kazi.
Mashabiki wa Arsenal wanacheki gemu wakiwa na soda mkononi...maana unajua burudani unapata na goli za kutosha unazipata....Sasa Manunu wao wakienda Banda umiza wanaenda na nguo mbili...jezi ndani halafu shati kwa juu maana mda wwte mambo yanaharibikaUkubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya🤠🤠🤠
Ukubwa wenu kwa Sasa upo kwny nn ndugu yetu....kama Kila siku mnashinda kimiujiza ujiza tu...mmebaki kuishi kwa historia tu...hamna jipya![]()



sawa lakini sisi juzi kati tu hapo tumetoka kunyanyua kombe la Ulaya, hata shombo la kombe bado halijakata kwenye mikono yetu. Nikachokiona kwa shanganzi, upweke unamsumbua. Kuna vitu anavikosaMwalimu wako alikua na kazi sana shuleni!
Nyie mmefukuzia miaka mingapi hadi sasa?Kwhyo kumbe tyri mnafukuzia mwaka wa 5 kuendelea kutoka Kapa halafu unatufanyia vurugu hmu...kwanza leo Brentford tuna jambo letu na nyny mda sio mrefu🤠🤠...mtamueleza Wissa vzuri mliwafungaje mechi ya kwanza
Dah😆🤣Nikachokiona kwa shanganzi, upweke unamsumbua. Kuna vitu anavikosa
20...bado hatujafikia record yenu kwny kufukuzia🤠🤠Nyie mmefukuzia miaka mingapi hadi sasa?
Burudani bila ya makombe haina faida ndugu yangu, msimu uliosha mliburudika siku 258 mpo kwenye top of the table, zile siku 30 zilizobaki za kumalizika ligi furaha yote ilipotea, humu yakawa yanaendelea matusi tu mpaka wengine wakaamua kujipiga Ban.Mashabiki wa Arsenal wanacheki gemu wakiwa na soda mkononi...maana unajua burudani unapata na goli za kutosha unazipata....Sasa Manunu wao wakienda Banda umiza wanaenda na nguo mbili...jezi ndani halafu shati kwa juu maana mda wwte mambo yanaharibika




Wana hasira sana hao.tutembee kwa makundi usalama mdogoTulishasema ligi tutaianza January, Sasa hivi ni mwendo wa spana tu Hadi may
Unyumbuni nitawafundisha soka kwa kejeli, kashfu na mauzi. Maana wamekua wajinga wa muda mrefu sasa
Kenge nawaachia wengine wadili nao
Kama wako tu ambaye miaka nenda rudi kombe hambebi licha ya kufundisha timu hadi kugonga meza lakini wapi!Mwalimu wako alikua na kazi sana shuleni!
Onyesha kombe lako acha blah blahNikachokiona kwa shanganzi, upweke unamsumbua. Kuna vitu anavikosa
Mara hii umehamia Brentford?Kwhyo kumbe tyri mnafukuzia mwaka wa 5 kuendelea kutoka Kapa halafu unatufanyia vurugu hmu...kwanza leo Brentford tuna jambo letu na nyny mda sio mrefu🤠🤠...mtamueleza Wissa vzuri mliwafungaje mechi ya kwanza
30 tushaifuta baada ya kubeba kombe juzi katiUnapozungumzia sisi miaka 20 bila kombe, kumbuka mlipiga miaka 30
Kwani shangazi unatumia mfumo gani kusoma hizi comments?
Si Allison kibonde wenu aliwazawadia magoli ya bureBora hawa TASAF(Liverpool) tuliwapiga bila kuwaonea
Wana mdomo sana siku hizi