Nimemshtukia pia Ben White kwenye corner kicks zetu hana kazi ya kugombania mipira ya kichwa. Yeye kazi yake ni kumghasi kipa wa timu pinzani na kumblock kijanja ili asitoke kudaka mipira ya juu bila kumfoul. Sometimes inafeli ila inatusaidia kufunga pale trick hii inspokubali.KUHUSU BEN WHITE KUWA INVERTED TO MIDFIELD
Maestro Martin Ødegaard
#EBL mchambuzi nguli anakwambia yote haya yanafanyika uwanjani wa akili ya mpira na technical aspects alizokua nazo Ødegaard kichwani ni very intelligent kwenye possession, attacking flow, ishu za spaces na fluidity Ødegaard ainafanya Arsenal icheze na ndio mchezaji anaeelekeza uwanjani kuhusu kuchukua spaces kama mchezaji mwenza akijisahau.
Ben White ni kiraka kwelikweli ni mwamba sana na anajua kusoma movements za Ødegaard na Saka, na kwenye hii game alikua anafanya Kazi mbili kipindi Cha attacking:-
1. Inverted kwenye Midfield,
2. Overlapping upande wa Saka kumpa Saka nafasi ya kuingia ndani na kumuondelea defender mmoja. Na kwa Ødegaard kuja kwenye deep laying inaonyesha akili yake ya mpira maana anausoma mchezo wote na kuelekeza wenzie sehemu za kukaa.View attachment 2903990
Ni kazi ya Carlos CuestaNimemshtukia pia Ben White kwenye corner kicks zetu hana kazi ya kugombania mipira ya kichwa. Yeye kazi yake ni kumghasi kipa wa timu pinzani na kumblock kijanja ili asitoke kudaka mipira ya juu bila kumfoul. Sometimes inafeli ila inatusaidia kufunga pale trick hii inspokubali.
Halafu je ni mimi au siku hizi kwenye kuzuia magoli ya setpieces hatuko vizuri sana? Kuna wakati tulikuwa tuko vuzuri halafu tukaotewa, ikawa mwendo wa kufungwa kwa setpieces kwa kwenda mbele.Ni kazi ya Carlos Cuesta
Zinchenko, Samurai Tomiyasu na ESR wanatosha kurudi kwa kesho....Jesus na Vieira hatuwataki kwa kesho...wasubiri j4 na Porto....habari za kupachikwa majina mabaya kama waonezi au makatili hatutakiOleksandr Zinchenko
Takehiro Tomiyasu
Emile Smith Rowe
Fabio Vieira
Gabriel Jesus
Mikel Arteta is “positive” he will see some of Arsenal’s injured players return to face Burnley.
Thomas Partey, who has not featured since October, “is progressing really well".
Kweli aisee ,hata hao mm Kwa kesho siwataki ,wale wale walioanza na Westham wanatoshaZinchenko, Samurai Tomiyasu na ESR wanatosha kurudi kwa kesho....Jesus na Vieira hatuwataki kwa kesho...wasubiri j4 na Porto....habari za kupachikwa majina mabaya kama waonezi au makatili hatutaki
Kwa ile squad aliyokufa westham, Ni mateso Sana kwa BurnleyKweli aisee ,hata hao mm Kwa kesho siwataki ,wale wale walioanza na Westham wanatosha
Zinchenko, Samurai Tomiyasu na ESR wanatosha kurudi kwa kesho....Jesus na Vieira hatuwataki kwa kesho...wasubiri j4 na Porto....habari za kupachikwa majina mabaya kama waonezi au makatili hatutaki
Tusiwachukulie poa Burnley. Wanaweza kutusumbua haswa baada ya kuwapiga wale vilaza Liverpool, tunaweza kujiendea na matokeo uwanjani Burnley wakatushangaza.Kwa ile squad aliyokufa westham, Ni mateso Sana kwa Burnley
Nketiah, nelson inabidi waanze
Raya aendelee kukaa golini mpaka msimu itakapoisha. Kiukweli namkubali sana.Mikel Arteta kuhusu Raya:
"Ninachopenda kuhusu David ni kile anachofanya golini- vile ambavyo anazuia, hata huoni kwa sababu havifanyiki, kwa sababu amevitarajia."
“Ni wazi alikuwa na mazingira ambayo yalikuwa na changamoto nyingi, lakini ndivyo ninavyompenda. Wachezaji wenye ujasiri na tabia na haiba.
Wakati hata iko hivi, wanataka kuwa wao wenyewe na wanajisukuma kufanya hivyo. Amepata haki ya kuheshimiwa na nina furaha sana kwamba ameshinda.”
“[Kuzuia mambo tusiyoyaona?] Tazama mchezo tena. Sitakuambia."View attachment 2905858
Nketia anamtoa nani aisee,, maana Combo ya Nell trousard na saka toka msimu wa mwaka jana hua ni mwiba sana wakianza pamoja hao jamaa watatuKwa ile squad aliyokufa westham, Ni mateso Sana kwa Burnley
Nketiah, nelson inabidi waanze