kuwapiga wale vibonde Swansea kwa Taabu.......then ka draw ka bahati nasibu kule Ujerumani kuanzia AW, Msaidizi wake, Mimi na wengineo kibao tukajua yap gari limewaka kumbe bado lina miss bwena..... Ngoja nione AW atakuja na story gani......... So far hakuna spirit ya Ushindi.......Ni majonzi everywhere......